Recent content by Zamamoma

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Vision Tanzania: Dr. Slaa Atembelea Shirika la Umeme Marekani

    kama wazungu hawana maana viongoz wa marekani wamekuja kufanya nn TZ na hawa wachina wanaotutengenezea barara zetu, je hakuna mainjinia TZ? mzungu lazima mmtegemee mpaka kufa kwen.
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Walioficha mabilioni Uswisi wahojiwa!

    wakibainika wanyongwe tu.
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Walioficha mabilioni Uswisi wahojiwa!

    Jaji Warema amesema maneno mengi sana lakin navyoelewa mm, maneno hayo hayatafanyiwa kazi kama inavyotakiwa kwani ufisadi umeshakuwa tatizo kubwa sana hapa nchini. dah wananchi tumesha choka na kunyonywa na watuu wa chache.
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Watalii wa kizungu wamwagiwa tindikali

    hao wazanzibar wawajibishwe
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri wa UDSM auawa kwa risasi jijini Dar es Salaam

    Polisi wafanye kazi yao
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri wa UDSM auawa kwa risasi jijini Dar es Salaam

    R.I.P Patrick. Oh we mic very important person recreation of new generations.
  7. Z

    JamiiForums Tanzania TAHADHARI: Orodha ya TBS ya bidhaa 48 zisizotakiwa kuonekana sokoni...

    kutumika vimeshatumika sana na kama ni athari tushapata
  8. Z

    JamiiForums Tanzania TAHADHARI: Orodha ya TBS ya bidhaa 48 zisizotakiwa kuonekana sokoni...

    majina ya watengenezaji /wasambazaji katika mabano ni pamoja na karatasi laini ‘tissue' za Alawi Supplies ya Zanzibar, Milk Marie Biscut za Britania, Maji ya Great Zone, Mishipi na nyavu za kuvulia samaki za Imara Fishnet, maji ya Raha na fulana za Kibo Trade. Bidhaa zingine ni matofali...
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Nassari Joshua akamatwa na Polisi na kuachiwa kwa masharti

    Hiv mnafikiri CCM wanaandaa mazingira gani ya uchaguzi mkuu 2015?
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Nassari Joshua akamatwa na Polisi na kuachiwa kwa masharti

    The way chuki zinavyoongezeka dhidi ya CHADEMA ndivyo na ushindi wao unavyokuja kasi.
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Wafungwa wa Kitanzania waliokamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong wafunguka!

    Tanzania ya sasa imeshakuwa kichwa cha mwendawazimu
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Wafungwa wa Kitanzania waliokamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong wafunguka!

    Kama hilo lina ukweli na president atalinyamazia tena bc ccm wajue wamejichimbia kaburi lao wenyewe la kuwazika 2015
  13. Z

    JamiiForums Tanzania Walimu Watakapoanzisha Kampeni Rasmi Madarasani Kuing'oa CCM

    inawezekana hujui maana ya demokrsia ww
  14. Z

    JamiiForums Tanzania Walimu Watakapoanzisha Kampeni Rasmi Madarasani Kuing'oa CCM

    Let us throw out CCM -2015
  15. Z

    JamiiForums Tanzania Agizo la Pinda laitikiwa na polisi: Waua na kutelekeza maiti!

    Nchi inanuka 2 damu kilawakati
Back
Top Bottom