Ww Kama mdau Una ruhusa Ya kutoa maoni yako lkn ww unatoa malalamiko badala ya kutoa suluhu.
Hakuna haja ya Ww kuhitaji CV ya afisa elimu kwani zipo mamlaka zinao wajibu wa kufanya hivo
Shule ya Sekondari namwai Wilayani Siha yapata tuzo kwa kupata mjongeo chanya matokeo ya kidato cha nne 2017.
Shule hiyo imepata shilingi milioni 2 kwa ajili ya motisha kwa walimu
Habari zaidi soma www.sihadc.go.tz
Kwa ujumla anafanya kazi kwa kushirikiana na mwenzi wake ambaye pia ni afisa elimu Kata katika halmashauri mojawapo hapa KILIMANJARO.
Tunafuatilia na mwisho wao umefika Sasa. Tupo kazini kuwasaka watu hawa wenye chuki binafsi za maisha.
Acheni Siha Ifanye mambo ya maana hatuna mda na wajinga
Walimu wa Siha msiogope wala hakuna miongoni mwenu aliyeshiriki jambo hili kwa namna yoyote ile mpo Ok kabisa
Mjinga mmoja aliyehama Siha baada ya kuwa na madeni makubwa na watu ameamua kuwachafua.
Mtu huyu alishamchafua na Afisa elimu wa manispaa ya Moshi hivi karibuni kabla ya kumchafua afisa...
Aliyetuma post ya kumchafua afisa elimu msingi ni mwalimu aliyekuwa Siha lakini akahama na baadaye amefukuzwa kazi kwa mambo yake binafsi ila bado yupo mkoa wa Kilimanjaro lakini kwa Sasa afanyi kazi tena amefukuzwa.
Walimu wa Wilaya ya Siha poleni sana kwa usumbufu mlioupata wa kuchafuliwa mitandaoni, ukweli ni kwamba anayetuchafua tumemjua na siyo mwalimu wa Siha
Nitawatajia hivi punde
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.