Recent content by Zakaria Lang'o

  1. Z

    Tujikumbushe: Lissu ni Mshindi

    Zilikuwa risasi 38 si 16, Ila 16 ndizo ziliingia mwilini.
  2. Z

    Tujikumbushe: Lissu ni Mshindi

    Uzi murua. Kuna kitu hata Mimi kinanishangaza Sana kuhusu Lisu. Alitaka kuuawa na Magufuli. Akaenda Ubelligiji kutibiwa. Kinyume na matakwa ya Magufuli,akarudi. Hofu ya Mungu ikawaangukia Magufuli na genge lake! Wakaufyata. Walipokuja kutahamaki, Mkuu karibu achukue nchi. Wakataharuki...
  3. Z

    Serikali yaanza kuwafuatilia Madaktari walioajiriwa Halmashauri na kuacha kazi au kuhamia sekta binafsi

    Huu Sasa ni ujinga. Kama madaktari hao hawataki kufanya kazi serikalini, mnawafuatilia ili muwafanyeje!? Wizara ya Afya acheni tabia kama za wachawi. Kuna madaktari wengi sana wasio na kazi. Wapeni kazi hao. Acheni tabia za kuharibia wengine maisha kwa kutumia madaraka. Zamani, enzi za...
  4. Z

    Video: Hili ndio Bunge la viwango la kijani la awamu hii, msikilize Waziri wa Afya

    Yaani huyu waziri alivyo anaonekana ni fyatu. Huyu atasaidiana na Meco kuharibu Afya za watu wengi Sana.
  5. Z

    Je, Mtanzania, una imani Bunge linaloendelea Dodoma?

    Sina haja na hilo Bunge hata kidogo. Bunge lenyewe linaongozwa na wagonjwa wa akili!!!
  6. Z

    Maswali matatu kwa Waziri wa Afya

    Asante Sana. Ni wakati Sasa wa kufahamu iwapo anapotoshwa na madaktari au Rais ameamua kunywa damu ya Watanzania. Waziri Ni lazima atoke hadharani atuambie wenye nchi iwapo korona ipo au haipo. HATUTAKI kuwa na viongozi wanaotuambia uongo huku wakifikiri sote tu mbumbumbu. Hii tabia ya utawala...
  7. Z

    Maswali matatu kwa Waziri wa Afya

    When did you give me those credits!?
  8. Z

    Maswali matatu kwa Waziri wa Afya

    Seif Sharif Hamad Ni Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar. Nafikiri masuala ya Afya ni ya Muungano. Ni haki Mganga mkuu wa serikali au waziri wa Afya aeleze umma tatizo la kiongozi wao.
  9. Z

    Maswali matatu kwa Waziri wa Afya

    Wakati mwingine unamjibu mtu alivyokuja, japo huweza kuleta ukakasi kwa waungwana. Hata hivyo mkuu "Monk" ni mtu wa kiroho, hawezi pata tabu.
  10. Z

    Maswali matatu kwa Waziri wa Afya

    I'm a member of this forum which is a public forum; and a citizen of this country. Dorothy Gwajima is a public leader in the ministry of health. She's obliged to answer these questions. If she doesn't, it's up to her. So I thought it's none of your business poking your nose into my affairs.
  11. Z

    Ukimjulia Rais Magufuli utajua kwanini lazima Upinzani utoweke nchini

    Magufuli ni mtu mwenye uelewa finyu, ambaye hawezi kuhimili hoja nzito. Watu wa aina yake hujenga chuki nafsini dhidi ya wenye hoja tofauti na wao. Wakiwa na nafasi ya mamlaka, basi hutumia mamlaka hayo kukandamiza hoja. Hata hivyo upinzani si Chadema wala ACT Wazalendo pekee. Umo mioyoni mwa...
  12. Z

    Maswali matatu kwa Waziri wa Afya

    Hili ni jukwaa la umma, waziri Gwajima ni waziri wa umma. Covid Ni ugonjwa wa umma. So nataka majibu yawe ya wazi ili umma wa JF ujue. Otherwise, shut up your narrow mouth.
  13. Z

    Maswali matatu kwa Waziri wa Afya

    We acha tu, halafu waongo hawa kila ibada unawakuta wamejaa misikitini na makanisani!!!
  14. Z

    Maswali matatu kwa Waziri wa Afya

    Kwani wewe ni Dr. Dorothy Gwajima niliyemuuliza swali!?
Back
Top Bottom