Wadau, wengi wanauliza ni kwa nini Rais Magufuli anachukia Upinzani kiasi cha kufanikisha Bunge kugeuka kuwa Halmashauri Kuu ya CCM, NEC.
Ukweli ni kwamba Magufuli si rafiki na watu weupe na product yoyote inayotoka huko. Mengine anakubali tu kwa kuwa hakuna alternative. Lakini angetamani kila kitu kiwe cha Afrika.
Kwa asili ya demokrasia ya vyama vingi ni product kutoka uzunguni uliosokomezwa kwetu na "wajomba" bila ridhaa yetu.
Kwa mantiki hiyo, Magu anapopambana na bidhaa za wazungu ni pamoja na mfumo wa upinzani. Hivyo, Chadema lazima kife kifo cha mende.
#HachanjwiMtuHapa
Ukweli ni kwamba Magufuli si rafiki na watu weupe na product yoyote inayotoka huko. Mengine anakubali tu kwa kuwa hakuna alternative. Lakini angetamani kila kitu kiwe cha Afrika.
Kwa asili ya demokrasia ya vyama vingi ni product kutoka uzunguni uliosokomezwa kwetu na "wajomba" bila ridhaa yetu.
Kwa mantiki hiyo, Magu anapopambana na bidhaa za wazungu ni pamoja na mfumo wa upinzani. Hivyo, Chadema lazima kife kifo cha mende.
#HachanjwiMtuHapa