Muunguno kwaajiri usalama wa bara ,haihitaji elimu ya darasala 7 kuelewa hili. Nje ya muungano hakuna kitu kinaitwa Zanzibar bali Kuna Pemba na Unguja. Mhuni yeyote akitaka kuvunja muungano .atasababisha Tanganyika kujigawa pwani,kaskazini, .neno Tanzania litakufa nchi itagawanyika so kuvunja...
Ivi wewe mwandishi umeandika Nini sasa .yaani unataka useme watanzania wote tunafurahia ukiukaji haki za binadamu.nikuuze huyo muasi amekatwa DRC au Tanzania.je sisi Tz tumetangaza vita na M23.kama sio .basi tumekiuka Sheria za kivita na haki za binadam.Afalu makosa ya M23.hayatupi garantii ya...
Sasa sisi waafrika akili yetu ndogo sana hatuwezi kuendesha mashika ya umma.labda tukodi wazungu waje watuongozee.sisi ushabiki simba na Yanga ndio tunaweza.
Acha uongo wew mtu mzima hawezi kuchapwa kwasababu za kidini alafu serikali kiademocrasia ikae kimya,. serikali yetu hawezi kufumbia macho udhaarishaaji na ubaguzi.Habari hii ya kupika
Wewe sasa umeandika nini? Hujui misri ya,leo,wapalestina, waajemi, waisrael wote wazungu waarabu ni utamaduni tu.ila wote wazungu (European race,/ Caucasian)
Kwann isiwe taifa moja Nchi moja. Suluhu ni taifa moja ili nchi ya palestina au Israel mataifa mawawili vita hatakuja isha. Naona Rais wa USA Biden wazo la mataifa 2 ni kuomba kura wa waislaam.UK,EU wana taka mataifa 2 ili wapate ushawishi kuendelea kuchota Mafuta nchi za Waislam. UN na wazo...
We
Uenezi maana yake nini?, na msemagi nina?.shida wa afrika kutafsiri kila mtu anatafsiri kivyake?.. ila nikuambie huyo Waziri Mkuu na Paul makonda wakiwa nje ya CCM ni sawa na Samaki nje ya maji. Pia kwenye dunia ya kidemocrasia Makonda yuko sahihi sana
Wew mwandishi uwezo wako mdogo sana, Paul makonda yuko sahihi. Wew ndio umekalili uzembe wa watangulizi wake,CCM ndio mwajiri wa Rais hakuna mtu mkubwa zaidi ya CCM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.