Recent content by Zaczacposen

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Waziri Kangi Lugola kuongea na waandishi wa habari kuhusu Mbwa aliyepotea

    Ivi mbwa mmoja aje kwa meli kwel? Huyu wazir sidhan km hadi mwakan mwez wa tano atafika
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Muna Love: Wakati naolewa na Peter nilikuwa na mimba ya Casto ya miezi miwili

    Huyo muna hana akili na km huyo casto nae hawana akili, km kwel baba ni casto kwann kwnye msalaba wa marehemu uliandika jina la mtoto na jina la baba ambalo ni peter? Hawa uchafu wa mjini wanapenda kuona wanapewa attention sana ndio maana wengi wanaumbuka
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Shop inthe name of love

    Kwa mahitaji ya nguo za kiume na kike kwa jumla na rejareja wasiliana nasi kwa number 0783849959. Au unaweza kupikata katika maduka yetu yaliyopo kinondoni ananasifu kona ya kwenda kanisa la pinda na sinza madukani. Jina la duka ni NINOZ
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Vanguard inauzwa

    Model 2009 Cc 2400 Km 55000 Grande 5 Right hand kwa yeyote aliyekuwa interest tuwasiliane
Back
Top Bottom