Recent content by Zacht

  1. Zacht

    JamiiForums Tanzania Vibe la nguvu kwenye Bomb-Shelter!!

    Unajua Talmud inasema nini kuhusu Yesu ,"Yupo motoni anachemshwa" wayahudi wanauita mwanamazingaombwe na unatemewa mate mkristo , Israel ilipitisha Sheria Kuban Chanel ya kikristo kufanya mahubiri ,Leo IDF wamefunga kabisa watu wasitumie . Lakini wewe upo kama punguani unavyowalamba Israel
  2. Zacht

    JamiiForums Tanzania Vibe la nguvu kwenye Bomb-Shelter!!

    Humu ukiingia wewe mlokole unatemewa mate ,ni wayahudi tu
  3. Zacht

    JamiiForums Tanzania Vibe la nguvu kwenye Bomb-Shelter!!

    Wazayuni wenzio wanataka regime change kwao
  4. Zacht

    JamiiForums Tanzania Je, kauli ya Tony Blair Kuvitaka Vyama vya Mrengo wa kushoto kusitisha Ushirika wao na Islamists, inaashiria Kupigwa Marufuku kwa Islamists?

    Wayahudi wenyewe walikuwa wanaunga harakati za socialist na ukomonist sasa ideology hio inawachukiaje i Wayahudi . Wayahudi wanachikiwa kutokana vitendo vyao na wala chuki haijaanza kwenye karne yetu Tu ,kabla ya ukomonist , socialist na hata uislamu haujaingia Arabia ,kwa kipindi chote...
  5. Zacht

    JamiiForums Tanzania Je, kauli ya Tony Blair Kuvitaka Vyama vya Mrengo wa kushoto kusitisha Ushirika wao na Islamists, inaashiria Kupigwa Marufuku kwa Islamists?

    Mlokole huyu hawana Muda wa kusoma history,wala kufatilia geopolitics linakuja kwenye Israel
  6. Zacht

    JamiiForums Tanzania Je, kauli ya Tony Blair Kuvitaka Vyama vya Mrengo wa kushoto kusitisha Ushirika wao na Islamists, inaashiria Kupigwa Marufuku kwa Islamists?

    Palestine haijaanza 1964 ipo Muda mrefu tangu kipindi cha Warumi (Syria Palaestina) ikiwa chini ya Ottoman Empire , badaye ikawa British Mandate for Palestine, kilichoanzishwa 1964 ni Palestine Liberation Organization, kwa ajili ya kupigania existence yao dhidi ya watayuni ,waliovamia 1948
  7. Zacht

    JamiiForums Tanzania Israel inakaribia kuanguka

  8. Zacht

    JamiiForums Tanzania Israel inakaribia kuanguka

  9. Zacht

    JamiiForums Tanzania Netanyahu amekiri kuwapa HAMAS ufadhili wa fedha $1+ billion

    Netanyahu anahitaji uwepo wa HAMAS na vita ku survive kwenye nafasi yake, ndio maana Kila mara yeye ndio mvunjaji mkuu wa peace deal. No peace deal means endless war, means he stays Mr. Security. Ametengenza mazingira Israel iwe kwenye vita Muda wote na yeye ndio Mtu pekee could handle it...
  10. Zacht

    JamiiForums Tanzania Netanyahu amekiri kuwapa HAMAS ufadhili wa fedha $1+ billion

    Saiz netanyahu kashikiliwa kooni , alikua anatumia vita Ku buy time kukimbia tuhuma zinazomkabili https://x.com/i/status/2037699139685814299
  11. Zacht

    JamiiForums Tanzania Netanyahu amekiri kuwapa HAMAS ufadhili wa fedha $1+ billion

    Ni kweli kabisa mfano Taliban liliibuka wakati wa uvam8zi wa soviet , marekani ndio alikua mfandhili,mtoa mafunzo na silaha , baada ya kumfurumusha soviet marekani kamgeukia talban Hamasi ndio kama hivi tunaambiwa funded by Israel,kitu cha kushangaza zaidi ISIS haijawah kushambulia Israel...
  12. Zacht

    JamiiForums Tanzania Netanyahu amekiri kuwapa HAMAS ufadhili wa fedha $1+ billion

    https://x.com/i/status/2037699139685814299
  13. Zacht

    JamiiForums Tanzania Netanyahu amekiri kuwapa HAMAS ufadhili wa fedha $1+ billion

    Kuna ripoti ya uchunguzi imetolewa (BIBI FILES) wakati vita ikiendelea kati ya Iran na Israel. Ripoti hiyo ni video inayomuonyesha Netanyahu akifanyiwa mahojiano na vyombo vya usalama kuhusu tuhuma za ubadhirifu wa fedha. Katika ripoti hiyo, Netanyahu anakiri kuwa alitoa ufadhili wa kifedha...
  14. Zacht

    JamiiForums Tanzania Israel inakaribia kuanguka

    Nazingua wapi Netanyahu Kufa, Netanyahu kutoa fedha kwa HAMASI,Au Israel kushambuliwa na Raia kukimbia inchin
  15. Zacht

    JamiiForums Tanzania Israel inakaribia kuanguka

    Israel inapitia kipindi wasichokitarajia baada ya kuwaua zaidi ya maafisa 40 wa juu wa serikali ya Iran mwishoni mwa Februari 2026. Wakajutarajia irani kuanguka ,lakini utawala huo umeendelea ku survive Lakini saiz hatari imegeuka upande wao, Israel inapata mashambulizi makubwa na hasara...
Back
Top Bottom