Netanyahu anahitaji uwepo wa HAMAS na vita ku survive kwenye nafasi yake, ndio maana Kila mara yeye ndio mvunjaji mkuu wa peace deal. No peace deal means endless war, means he stays Mr. Security.
Ametengenza mazingira Israel iwe kwenye vita Muda wote na yeye ndio Mtu pekee could handle it...
Ni kweli kabisa mfano Taliban liliibuka wakati wa uvam8zi wa soviet , marekani ndio alikua mfandhili,mtoa mafunzo na silaha , baada ya kumfurumusha soviet marekani kamgeukia talban
Hamasi ndio kama hivi tunaambiwa funded by Israel,kitu cha kushangaza zaidi ISIS haijawah kushambulia Israel...
Kuna ripoti ya uchunguzi imetolewa (BIBI FILES) wakati vita ikiendelea kati ya Iran na Israel. Ripoti hiyo ni video inayomuonyesha Netanyahu akifanyiwa mahojiano na vyombo vya usalama kuhusu tuhuma za ubadhirifu wa fedha.
Katika ripoti hiyo, Netanyahu anakiri kuwa alitoa ufadhili wa kifedha...
Israel inapitia kipindi wasichokitarajia baada ya kuwaua zaidi ya maafisa 40 wa juu wa serikali ya Iran mwishoni mwa Februari 2026. Wakajutarajia irani kuanguka ,lakini utawala huo umeendelea ku survive
Lakini saiz hatari imegeuka upande wao, Israel inapata mashambulizi makubwa na hasara...
Niliona mahojiano ya kiongozi wa kurdi amesema wao sio bunduki za kukodisha ,wamewakatalia Marekani kujiingiza kwenye mzozo maana Marekani kwa miaka mingi anawatumia bila kupata chochote,na cha zaidi amesema wao sio kundi kwa ajili ya vita ,wao ni kama jamii nyingine ambao wanapigania kuwa na...
Aya ya Qur’an haisemi kuwa mfumo wa swaumu wa Waislamu ndio ule ule uliokuwepo kabla ya Uislamu, ila inathibitisha kuwa kufunga ni ibada ya kale iliyotolewa kwa Mitume waliopita haijasema walifunga Ramadhani inasema walipewa ibada ya kufunga
Qur’an haiji kupinga Mitume waliotangulia bali...
Mkuu hoja yako ina makosa kidogo
Kwenye Uislamu haujawahi kufundisha watu wafunge ili waonekane. Katika kitu ambacho mtume amekataza na amesema kina haribu matendo ya watu ni riya ,Yani kufanya Jambo kwa ajili watu wakuone , Riya ni aina ya shirki ndogo ,Na Mtu wa aina hio hapati faida kwa...
msemo unaosema brainwashed Christian is dangerous to himself unakufaa sana wewe! Unaleta assumptions badala ya hoja, You're dangerous to your own intellect.
Kwanza Ndani ya Ukristo hakuna consensus. Kila mtu ana tafsiri yake, na wewe umechagua ile unayoipenda.hujui kipi geopolitics kipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.