Recent content by zabronP

  1. Z

    Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

    Kuna kwaya nilikuwa nasikiliza nikiwa mdogo ila siikumbuki jina na nyimbo yake ila nakumbuka baadhi ya maneno...walikuwa wanaimba.. Maneno ya kinywa changu ee we bwana yakutukuze wee, wee Mwokozi wangu na mawazo yote ya moyoni mwangu yapate kibali mbele zako bwana..... Naomba msaada wa jina la...
  2. Z

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa na wanawake wa DSM kutoka Ukumbi wa Millenium Tower

    Hata Musa alikuwa na kigugumizi...ila vitendo ndo balaa...lowassa haitaji mbwembwe za kujua kuongea...
  3. Z

    Lowassa kapita dirishani kwangu

    Juzi nilibahatika kwenda Mtwara Newala vijiji huko...nikauliza watu tu kwa udadisi...kiukwel Lowassa ni habari nyingine anakubalika sana...hata mimi nilikua ccm tena...nilikua mbishi sana mpaka nilisema ukikata damu yangu ni ya kijani...ila kiukweli Tunahitaji mabadiliko....napenda niwe part of...
  4. Z

    Kama Lowassa alitabiriwa na TB Joshua kuwa Rais TZ, Iweje sasa atumie Pesa kukampenia Urais?

    Utabiri wa TB Joshua unakuwaga kweli...ana personal prophecy na zinazohusu taifa...ila hatujui kama ni kweli alisema hivyo....kama kweli alisema kuna dalili zinaonekana
Back
Top Bottom