Ali mufuruki ni mmliki wa kampuni tofauti na hyo ilyopo kwny ufisadi! Ilyopo kwenye kashifa ni INFOSYS......... Na kampuni ya ALI MUFURUKI ni INFOTECH. So Kama hujui ktu bora usichangie
Tena eti naskia Skia ni mchungaji wa kanisa moja Hv pale external linaitwa City Harvest! Kwel mtumishi wa Mungu unaweza kufanya haya yote jaman tumuogopen Mungu! Anaona yote tunayoyafanya hapa duniani!
WAZIRI WA MAGUFULI KTK KASHFA YA UFISADI NA POLISI
- Kampuni inayohusishwa naye ya Infosys ilikuwa mkandarasi
Yadaiwa Infosys inamilikiwa na Kitwanga na Mkurugenzi Mkuu NIDA
Ni mdau wa LUGUMI enterprises
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga atajwa kuhusika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.