Sio kweli,nenda kasome nyaraka za shirika la ujasusi la marekani,tafuta pia madokezo ya balozi wa marekani nchini kenya jasusi Frank kaurus,Tanzania hatuna tishio lolote kutoka zanzibar hata kama itajitenga,ila Tanganyika iko pale kulinda mapinduzi ya asp ya mwaka 1964,ueleweke kuwa waliokuwa...
Hakuna mahari makonda katamka samia ni mungu wake.huo ni uzushi na ujinga tu wa watu.hata kabudi pia alilishwa tu maneno na wapenda uchochezi na siasa uchawala wakaunganisha maneno.
Heche namkubali sana,huyu huwa hana longolongo, ana tabia za kimagufuli huyu.pia nionyeshe mapenzi yangu kwa watu wa kanda ya ziwa,kiukweli hawajawahi kuniangusha kabisa.
Kwanza mleta mada umeonyesha uwezo mdogo sana wa uelewa juu ya kitu uongizi,kiufupi hatumchagui kiongozi kwa sababu ya jinsia yake,kuwa kwako mwanamke au mwanaume sio sifa ya kuchaguliwa kwako,pili kwenye hiyo list yako,luhaga mpina,heche, woote wale wanafaa,mhimu sana kwenye urais ni uwezo wa...
Ushenzi unaanzia kwa mtu asiyejitambua kama wewe,kuna kipindi ANC ya afrika kusini ilikuwa ikiitwa ni chama cha magaidi na marekani pamoja na uingereza,na watu wajinga na wapumbavu kama ninyi,ni halali tu kuiita hivyo Iran.
Huyu mama ni bonge la mpumbavu,hebu watuambie kwanza kifo cha mzee Enock aliyekuwa mwenyekiti wa ccm wilaya ya meatu,huyu dada mikono yake imejaa damu pamoja na genge lake la wanyori.
Kama hakukuwa na social media wewe ulijuaje kuwa anapendwa?,sijui kws nini watu huwa hampendi kuficha ujinga wenu mbele ya umma!?. Magufuli anaongoza,anafuatiws na nyerere.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.