Kwa wanaojua kwani Inawezekana mtu kusoma vyuo viwili kwa mara moja mfano;upo degree chuo x ila unafanya application na kujisali level ya certificate au diploma chuo y
Jamani na mimi naombeni msaada ili nijue kama nitatizo nina kisabufa changu cha aborder vile vidogo kabisa ukikiwasha kinakua kinatoa mlio/sauti kama chenga chenga.
NB,radio ndo mpya ina siku mbili
Nimeomba mkopo na nimefanikiwa kupata, ila nikiingia kwenye account yangu niliyosajiliwa chuo sehemu ya financial sponser inaonyesha ni private badala ya HESLB na sehemu ya HESLB loan amount inaonyesha 0.00. Inaweza kuwa tatizo nikatoe taarifa chuo au niache mkopo wangu utaingia kama kawaida.
Ila bora mimi wamewahi hao T.I.A maana wanachofanya ni kuwahiana wanaangalia watu wenye multiple kama bado hujaconfirm wao wanaconfirm wenyewe na ni vyuo vingi sio hivyo tu.pona yako kidogo uwe ulisharequest code ila kama bado umeisha
Naenda ila kinyonge sana maana nilitaka nisome I.F.M,watu wasiwe wabishi hivi vyuo vinaconfirm watu bila ridhaa yao.hapo bado kuna vyuo vingine na vyenyewe vina majina makubwa ila vinafanya huo upumbavu.
Ni kweli jamani msiwe wabishi,hata mimi T.I.A walinipigia simu wakiuliza kama waconfirm nikawakatalia ila wameingia kwenye sytem wamenibadilishia number ya simu niliyokua nimeweka kisha wakaconfirm.
Bachelor of accountancy - TIA{MBEYA}
Bachelor in accounting and finance - CUCOM/SAUT{MBEYA}
Bachelor of accountancy with information technology - IFM{DAR ES SALAAM}
Bachelor degree in accountancy with information technology -IAA{ARUSHA}
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.