Recent content by YUSUPHU1994

  1. Y

    SoC03 Tuwekeze katika tafitizi za kisayansi kama tunataka maendeleo ya nchi na watu

    Tanzania nimiongoni mwa nchi ambazo zinapambana kujikwamua katika umaskini ili kuwa nauchumi wa juu barani africa,katika kufanikisha hayo nilazima kama nchi tuchague kuwekeza katika tafiti za kisayansi hapa kuna njia ya kweli yamafanikio. Tanzania inatumia fedha nyingi sana katika sekta ya afya...
  2. Y

    TANGA: Watumishi wabainika kuongeza idadi ya Wagonjwa wa VVU ili kunufaika na Fedha za AMREF

    Hiyo nikwasbabu hii miradi inatumia pesa nyingi kutaka data io inasababisha watu kupika data
Back
Top Bottom