Recent content by Yusuphtaha

  1. Yusuphtaha

    Nyama ya kenge

    😁😁😁
  2. Yusuphtaha

    Hali ya usafi kwenye saluni unayoenda kusuka au kunyoa ikoje?

    Kwakweli kwa hapa wahusika wanakazi ya kufanya kubwa sana, saloon, Migahawani huku/Mama Ntilie (vyakula vinavyopikwa na Joice zake ), Maguest huko hizi sehem zinatakiwa kuangaliwa kwakweli. Unakua mtu anafungua saloon na Taulo mbili to😥
  3. Yusuphtaha

    Tumshauri kijana huyu cha kufanya, muda bado upo

    Namshauri ajaribu kutembelea na sehemu kama Pekas(Kwa Mwamposa) Atanishukuru baadae...
  4. Yusuphtaha

    Break down ya Mil. 27 kwa nyumba ya vyumba 3 yenye kila kitu

    Hesabu nzuri sana ila kwa ujumla integemeana na Eneo, Ramani ya nyumba na usimamizi kwa ujumla ukizingatia hivyo nyumba inakamilika mapema.
Back
Top Bottom