Hapo askari kapewa pesa ili aende kumkaamata jamaa bila kufuata utaratibu ndiyo maana yanawakuta mambo .
Watu wa aina hii ni kwenda nao kiulalo ulalo tu hakuna namna.
Habari wadau,
Naomba kupata elimu kuhusu hili suala langu hapa.
Nilipitisha barua yangu kwa mkuu wangu (DG) kwa lengo la kuomba nafasi taasisi X. Je, wakati wa kuomba kibali nalazimika kupitisha tena au naweza kuitumia ili barua niliyoipitisha awali kama kiambatanisho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.