Anaweza kwenda maana kwa matokeo ya kuanzia 2012 na kurudi nyuma anatakiwa awe na "ddd" kwa "pcb" mathematics na english ni sifa za ziada na kwa matokeo kuanzia 2013 mpaka leo inatakiwa "eee" kwa "pcb" km kawaida maths na eng ni sifa za ziada. Hiyo ni certificate ya kozi yoyote ya afya.
AISHI NA KINYESI NDANI YA CHUMBA CHAKE KWA MIAKA 2
MWALIMU wa Shule ya Sekondari ya Kibasila Gaudensia Abert ameishi na kinyesi, mikojo, mende na funza wa kila aina katika chumba kimoja kwa muda wa miaka miwili. Tukio hilo ambalo limewafanya majirani kujiuliza maswali ambayo wamesema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.