Recent content by Yusuph Maimu

  1. Yusuph Maimu

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi

    Mimi mwanafunzi niliyehitimu mafunzo ya VETA katika fani ya ujenzi level 2 mfumo wa CBA 2013, ninauzoefu katika fani hii katika kisimamia kazi( siteforeman) miaka mitano, ninaomba Kama kuna kazi yeyote inayohusu wasifu huu ninaomba nitaarifiwe jamani wana JF. Mawasiliani: 0765920084 au 0672574026
  2. Yusuph Maimu

    JamiiForums Tanzania UJENZI: Tazama picha rangi mbalimbali za kupaka nje ya nyumba yako

    Ysm Bwoy Civil Building Arts tupo kwa kazi hiyo Wala usipate tabu.Mawasiliani : 0672574026 au 0765920084.Dar-es-Salaam.
  3. Yusuph Maimu

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa msingi wa Mawe na msingi wa Tofali

    Mawe gharama yake iko juu ila ni strong ukilinganisha na matofali, so ni vizuri ukatumia mawe Kama upatikanaji wa mawe kwa eneo Hilo ni rahisi.
  4. Yusuph Maimu

    JamiiForums Tanzania Karibuni wote wenye uhitaji wa kufanyiwa kazi za ukarabati wa nyumba pamoja na kazi Mpya za ujenzi

    Karibuni wote wenye uhitaji wa kufanyiwa kazi za ukarabati wa nyumba pamoja na kazi Mpya za ujenzi ,Pia tunasupply building materials mfano: rangi, misumari,Mabati, Tiles za Sakafu, plywood,viunganishi vya bomba na Bomba . Mawasiliano: 0672574026 au 0765920084.
Back
Top Bottom