Wewe ni mnafiki tu,mnalaumu viongozi wa wilaya kwani wao wana pesa za kuwagharimia wagombea?Hawana ruzuku wala posho,wanaendesha chama kwa pesa zao halafu mnawalaumu! Kama unauchungu si ungelipa tu?Acha umbea.
Taarifa toka Tanga zinasema kuwa uchaguzi wa meya wa jiji la Tanga umemaliza,na Ccm wameshinda kwa kupata kura 19,UKAWA 18.Ikumbukwe kuwa ukawa wana madiwani 20 na ccm 17.Tafsiri ya ushindi huu wa ccm,ni eidha madiwani wawili wa ukawa wamempigia kura mgombea wa ccm,au matokeo yamechakachuliwa.
Mtoa mada umenena hata mimi nashangaa,iweje viongozi wakuu hasa mwenyekiti Mbowe hatoa matamko kwa haya yanayoendelea nchini?Ukawa wamemwacha Magufuli anatamba kwenye vyombo vyote vya habari.Huu ni udhaifu.
Taarifa nilizopata zinatanabaisha kuwa,aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza amepandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Intelijensia Nchini.
Ikumbukwe kuwa RPC huyu mwenye jina na Mkumbo, ndiye aliyezuia kuagwa kwa marehemu Alphonce Mawazo pale Mwanza.
Ni wazi kuwa ule utamaduni wa kuwapandisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.