Recent content by yusufuj

  1. Y

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la watu hifadhi ya Ngorongoro kuleta madhara makubwa kwa wakazi asilia na uhifadhi

    Kuna taasisi na watu mbali mbali wenye interest na Ngorongoro: 1. Ngorongoro Conservation Authority 2. TANAPA 3. Wizara ya Maliasili na Utalii 4. Wadau wa utalii, Arusha Hivi kati ya hawa wote hakuna anayeona hii hatari akapiga kelele, akawaita wenzake, ili uvamizi huu uthibitiwe?
  2. Y

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu kuliko kuboresha utekelezaji wa mtaala huu mbovu ni bora mngeelekeza juhudi zenu kuandaa mtaala mpya

    Kuhusu mtaala wa elimu: Kuna haja ya kuchukua bold measures na bila kuogopa mtu ili kuiokoa elimu, mambo machache ambayo naona bora yafanyiwe kazi haraka ni: 1. Utaratibu wetu wa kupata waalimu wa shule za msingi na sekondari- Shule nyingi za msingi zinapata waalimu kutoka wahitimu wa form...
  3. Y

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Anayekosea maamuzi nitamrekebisha, sitamfukuza

    Inategema na damage anayosababisha mtu, uamuzi unaweza kuchukuliwa hata kwenye kosa la kwanza.
  4. Y

    JamiiForums Tanzania Mgogoro mkubwa baina ya Serikali na wananchi waishio ndani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro

    Kupanga ni kuchagua . Kama taifa, labda tumeshatosheka kabisa na kuendelea kuwepo kwa hifadhi hii, na tumeruhusu uvamizi wa aina hii uendeleee kwa kisingizi cha wavamizi kuwa na imani na SSH . Kama ambavyo tumeshidwa kutunza vyanzo vya maji, mpaka jiji kama Dar es Salaam linakosa maji, kisha...
  5. Y

    JamiiForums Tanzania 2025 ACT wazalendo watajiunga na CCM katika uchaguzi mkuu!

    It does not make any difference. By all means ACT is not a competitor of CCM, existence of ACT does not pose any threat to CCM If ACT forms a coalition with CCM, the beneficiary is ACT as its leaders will get some post in the government. CCM will not benefit much apart from gaining political...
  6. Y

    JamiiForums Tanzania Tanzania kuna visima vya mafuta kama tulivyoaminishwa na IGP Sirro?

    He simply meant kulipua petrol stations
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Ni kweli CHADEMA hulipana posho za mamilioni kila wanapohudhuria kesi ya Mbowe?

    Hayo mabilioni kwa hali ya sasa ya Chama yanatoka wapi? Sources za income ya Chama ni ruzuku, Ada za za wanachama, na sources nyinginezo kama misaada mbali mbali kwa chama
  8. Y

    JamiiForums Tanzania Waziri Makamba avunja Kitengo cha Habari na Mawasiliano TANESCO kwa tuhuma za kushindwa kulisemea Shirika

    Kwa erratic nature ya flow ya umemem kwa sasa nchini, hakuna kitengo chochote cha habari ambacho kingeweza kuhabarisha umma adequately. Umeme unakatika saa nne kamili , unarudi saa nne na dakika saba, unakatika tena baada ya dakika 12 na unarudi ndani ya dakika 3. Sijui wewe kama mtu wa kitengo...
  9. Y

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa Umma waombwa na Hazina kuorodhesha Dini na Kabila zao. Rais Samia na Wasaidizi wako, haya yanafanyika kwa lengo gani?

    Kwanza nashangaa, kwani mtu anapoajiriwa si details zote hizi anatoa kwa mwajiri wake. Ina maana MOF walikuwa wanafanya kazi na watu ambao hawajui siku zote hizi. Unamwuliza mwajiri wako jina lako, wewe ulikuwa unamlipa nani mshahara?
  10. Y

    JamiiForums Tanzania TPDC yaingia mkataba na Kampuni ya Uingereza ya Baker Botts kwa ajili ya ushauri wa Kisheria

    Jamani tuache ulimbukeni wa kuona kila tunachofanya na kampuni za nje tunapigwa. Haya mambo ya onshore LNG au Offshore LNG bado hatuna uzoefu wa kutosha. Kuna uwezekano tumesomesha watu kwenye maeneo hayo, lakini hawana uzoevu wa kuingia mikataba mikubwa ya kimataifa inayohusisha mabilioni ya...
  11. Y

    JamiiForums Tanzania 1950 Machifu wa Kinyakyusa walienda Uingereza kudai uhuru!

    Kumbe na Wanyakyusa walienda hadi UK?? Kweli kuna makabila yenye asiliya aggressiveness nasikia pia Cheif Marialle toka Kilimanjaro naye alienda UN. Swali langu tu la kijinga 1. Ni nani aliwagharamia safari hizi ukizingatia zilikuwa ni safari za kupingana na watawala wao 2. Education level yao...
  12. Y

    JamiiForums Tanzania BoT: Wananchi wa Ruvuma wanawazidi kipato Wananchi wa Arusha, Wakazi wa Kagera ndo Masikini wa Kutupwa

    Nominal GDP per capital does not necessarily tell someone's standard of living. Ruvuma iko vizuri sana kwenye kilimo cha mahindi, maharagwe, Kahawa, alizeti n.k. Pia over recent makaa ya mawe yanachimbwa na kusafirishwa kwa wingi toka Ruvuma. Inawezekana kabisa zaidi ya asilimia 75 mapato ya...
  13. Y

    JamiiForums Tanzania Nani aliamuru jengo la bunge Dodoma kujengwa uswahilini

    Jengo liko Uswahilini. Kuna ndani ya compound pia wamepafanya uswahilini, vibanda vingi sana vimejengwa kuzingira jengo, majengo yanapigwa" crazy colors" kama uswahilini. Jengo kama la bunge linatakiwa liwe "single standing" na pasiwepo mrundikano wa majengo kuzunguka jengo kuu la bunge.
  14. Y

    JamiiForums Tanzania Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji

    Tanga ni jiji, Mbeya ni jiji, Dodoma nalo ni jiji Maendeleo ya mahali hayaletwi na kubadilisha hadhi ya mji toka Manispaa kuwa Jiji, au Halmashauri Mji kuwa Manispaa, au Mji mdogo kuwa Mji Nilitembelea Songea miaka miwili iliyopita na kujionea hali ya mji huo ambao nao unaitwa Manispaa, kwa...
Back
Top Bottom