imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,677
- 71,034
Wamasai wamekuwa wakiishi hapo kabla ya sisi Wabantu kuhamia Afrika ya Mashariki na wamekuwa wakiishi kwenye vijumba hivyohivyo mbona Serikali ya Kenya huwa inawalipa fidia nono.Hawana nyumba za kudumu, ni tope tu..walipwe fidia ya nini? Wamasai hawataki kuondoka mle kwasababu mle hawaruhusiwi kulima, hivyo serikali huwa inawapa msaada wa chakula Cha kutosha kila mwaka. Sasa wamezoea vya dezo.. hawataki kuondoka