Recent content by Yusufu Mjasili

  1. Yusufu Mjasili

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nina Tsh. Milioni 25, nifanye biashara gani?

    Biashara sio jambo rahisi kabisa, kama huna uzoefu na biashara yoyote cheza na biashara ya viwanja au nunua nyumba ufanye ya wapangaji au guest ya kulala wageni. Usitoke kwenye eneo hilo la ardhi, hizo biashara nyingine za kusimuliwa na kushauliwa hela inaondoka kidogo kidogo mpk inaisha...
  2. Yusufu Mjasili

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza furniture za maofisini na majumbani kwa gharama nafuu. Tupo Mabibo jijini dar es salaam karibu na chuo cha usafirishaji NIT. 0715 494920

    Karibu sana..
  3. Yusufu Mjasili

    JamiiForums Tanzania Kama una matairi mabovu kabisa nanunua. Tupo dar mabibo mzambarauni karibu na chuo cha usafirishaji NIT. Piga namba hiyo tufanye biashara. 0715 494920

    Ndio, itakuwa na maana sana kama utakuwa nayo mengi, idadi yoyote nachukua. Yakuwa makubwa makubwa ndio hayahitaji zaidi.
  4. Yusufu Mjasili

    JamiiForums Tanzania Toyota harrier inatakiwa m31. Gari ipo Msasani/ostabey polisi mpya.

    Gari tayari imeshauzwa..👍👋
  5. Yusufu Mjasili

    JamiiForums Tanzania Toyota harrier inatakiwa m31. Gari ipo Msasani/ostabey polisi mpya.

    Haina scratch yoyote wala haijawahi kupigwa rangi. Kwa ufupi gari ni mpya sana/tyre mpya/redio android..
  6. Yusufu Mjasili

    JamiiForums Tanzania Toyota harrier inatakiwa m31. Gari ipo Msasani/ostabey polisi mpya.

    Haina tatizo lolote, boss wangu mwenye hiyo gari kununua Alphard new.. hiyo ndio sababu ya kuuza hii harrier. Hii harrier imenunuliwa m37 africars show room/njia panda Mabibo. (O783 708437:- Karibu sana/Gari ya muhindi)
  7. Yusufu Mjasili

    JamiiForums Tanzania Toyota harrier inatakiwa m31. Gari ipo Msasani/ostabey polisi mpya.

    Shukran kaka, napokea taarifa.🙏
  8. Yusufu Mjasili

    JamiiForums Tanzania Toyota harrier inatakiwa m31. Gari ipo Msasani/ostabey polisi mpya.

    Yes, Nauza harrier tako la nyani m31 karibuni sana. 0715 494920 & 0783 708437. Gari ipo Msasani karibu kabisa na kituo cha polisi ostabey mpya. (Mazungumzo yapo kidogo)
  9. Yusufu Mjasili

    JamiiForums Tanzania Muongozo wa kuanzisha biashara ya shule ya chekechea(daycare)

    Yuko jamaa mmoja anauza soft copy kitabu chenye maelezo ya kina sana.
  10. Yusufu Mjasili

    JamiiForums Tanzania Natafuta mteja wa chap chap nauza tv mpya inch 55 aiwa, imekufa kioo. Bei alfu 70 mazungumzo yapo.

    Tv ipo dar es salaam location za mansese, tv ni mpya kabisa lakini imekufa kioo tu. Kwa iyo nauza hivyo hivyo ilivyo. Naposema nauza tv iliyokufa kioo sio wote watanielewa! Taarifa hii inawahusu watu wachache sana, Call 0783 708437. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Yusufu Mjasili

    JamiiForums Tanzania Kuchonga funguo za sefu

    Kwa mi binafsi mzee wa investigation sitaki kukubali story yako, inaonekana kama story ya kutengenezwa ili kuuwa ukweli ulipopata hiyo kitu. Lkn aslimia ndogo inawezekana!! Kuna sehemu 2 hapa dar wanahusika na hiyo kitu. 1) Buguruni shell:- Nyuma ya pharmacy maarufu sana pale buguruni kiomboi...
  12. Yusufu Mjasili

    JamiiForums Tanzania Tunabadilisha vioo vya tv

    Nauza aiwa inch 55 imekufa kioo tu, TV imetumika kama miezi 7 hivi. Tatizo lake ni kioo tu/box lake lipo/remote imepotea. Nauza hivyo hivyo, ukihitaji 0783 708437. Tv ipo dar location za kigogo Mburahati.. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Yusufu Mjasili

    JamiiForums Tanzania Huduma ya usafirishaji wa magari kutoka Afrika Kusini - Tanzania

    Kuna wakati nilikuwa napeleka gari za IT congo kupitia rwanda. Kabla ya kutoka hapa dar kuanzia safari kuelekea congo lazima ikatwe insurance ya mda mfupi ukiwa ndani ya tz. Tukiwa boda ya RUSUMO upande wa tz, kuelekea rwanda tunakata tena ya muda mfupi. Tukiwa boda bukavu upande wa rwanda/goma...
Back
Top Bottom