tatizo watu wanadharau mtu hajui hata kitu kimoja lakini akikusikia unaanzisha project kama hizo anakukatisha tamaa
solution nikuanzisha project zako mpaka pale utakapoweza kama animation uwe umeandaa scripts character design nk kiasi kwamba hata mtu akiiona project yako anakuwa encouraged
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.