Yap n kwelii nna Bajaj mbili saiz bags itansaidia maana najua changamoto ya biashara lazima uwe na subiraa, vp nawez kupata wapi hzo machine? Za kuchonga ndo nahis nzurii zaidi.
Msaada jaman nahtaji kufanya biashara ya kufyatua tofarii japo nataka kuanza kununua vifaaa hvyo kimoja kimoja,,mfano vibrator mixer ya mchanga naweza kupata wapi? Kwa Bei ganii? Ina uimara ganii? Mm kwa sasa Niko Dodoma pia Ile vibrator yenyew inayofyatua tofar wanauza Bei ganii?
Zinapatikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.