Tusiwe wanafiki kwa mtu anae fanya vizur,panapo stahili mtu mpeni sifa zake hata kama kuna mapungufu nae ni binadamu,kijana uchapakaz wake ndo umemuweka hapo alipo,hakulazimishi umpende ila anakushawiah kwa uchapakaz wake umpende;nyie mnacheza na vyombo vya habar wakat yeye anachapa kaz!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.