Mwanaume anapiga kazi sana sema hawa wanaojiita wapinzani hawana akili walikuwa anapinga ufisadi saa hizi huwezi ckia wakiliongelia coz wamemkumbatia aliyekuwa fisadi sasa hiv wanaleta polojo zisizokuwa na mantiki hawa kazi yao kuaribu tu co kujenga kuweni sana na hao watu wanaojiita UKAWA...
Kama mnamtegemea Mungu, msikilize anakwambia nini juu ya hilo ukisikiliza watu watakushauri mengi maana watu wana mameno mengi but Mungu analo neno la kukushauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.