“UHUSIANO WENYE PANDE MBILI ZA SARAFU”
10/09/2022
Ukiniuliza kuhusu uhuisano wa Malkia Elizabeth wa Pili na Afrika basi nitakujibu kuwa ni uhusiano wenye pande mbili za sarafu, kwa upande wa kwanza wa sarafu umegubikwa na masuala tata kama:-
Ukoloni; Hakuna shaka yeyote kuwa lawama za...
"PLATA O PLOMO"
13/04/2022
Pablo Escobar, mlanguzi nguli wa madawa ya kulevya mwenye asili ya Colombia alikuwa akitumia maneno hayo mawili kuelezea njia anayoitumia katika kufanikisha biashara haramu za madawa ya kulevya. Neno Plata likiwa na maana ya "Fedha" na Neno Plomo likiwa na maana ya...
ONE YEAR OF PRESIDENCY: I do believe, progress has been made!
19/03/2022
Tanzania is commemorating one year since President Samia Suluhu Hassan took oath for presidential post,
President Samia Suluhu Hassan entered Chamwino at a dark times and unprepared as she is reported by the media's, but...
Ninakubaliana na Ali Farag
"KAMA UKRAINE INAZUNGUMZIKA, NA PALESTINA PIA INAWEZA KUZUNGUMZIKA"
19/03/2022
Binafsi kama mpenda amani na mwanaharakati wa kuenzi utu wa mwanadamu popote pale duniani, nimefarijika sana na kauli ya mwanamichezo wa Misri, Ali Farag mwenye asili ya Misri kuhusu...
ONE YEAR OF PRESIDENCY: I do believe, progress has been made!
19/03/2022
Tanzania is commemorating one year since President Samia Suluhu Hassan took oath for presidential post,
President Samia Suluhu Hassan entered Chamwino at a dark times and unprepared as she is reported by the media's...
“MATAIFA MAKUBWA HUWA HAYANA SIMILE”
24/02/2022
Ni nani asiyejuwa kinachoendelea nyuma ya pazia la mapinduzi ya kila siku yasiokwisha Afrika ya Magharibi?
Wangapi wamesahau kikosi cha jeshi la Ufaransa kilipovamia Ivory coast na kumtoa madarakani Laurent Gbabo pale alipo goma kumkabidhi...
30/11/2021
Hatua hii ya Rwanda kuweka marufuku ya usafiri dhidi ya Afrika Kusini kwa kisingizio cha aina mpya ya kirusi cha Uviko-19 kinachojulikana kama "Omicron" ambacho kimegunduliwa nchini Afrika Kusini haishangazi,
Rwanda inajua inachokifanya, inawezekana sababu ya awali ikawa ni kulinda...
13/11/2021
Yafaa kusema wakati wa kipindi cha ukingoni cha Afrika Kusini na sera za ubaguzi wa rangi dhidi ya wasio weupe (wasio wazungu) watu wengi nchini humo ukijumuisha na baadhi ya hata wazungu wenyewe walikuwa tayari wameshachoka na sera hizo,
Hatua kali zilizo chukuliwa dhidi ya...
06/11/2021
During 2020 Zanzibar elections, Dr Mwinyi was my number one favourites Presidential candidate, many friends of mine asked me a lot, why are you endorsing Dr Hussein Mwinyi??? Did he pay you??? Does his party "Chama cha Mapinduzi" payed you??? but i kept silent at the time,
I had...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.