wewe jamaa kilaza kweli kweli, unadhani nchi inaongozwa kwa sababu mtu ni Tajiri, aliyehitimu digrii siku nyiingi, au mwenye majumba ya kifisadi? anahitajika mtu mwenye fikra pevu, huruma ya uzalendo na anayeweza kuileta Tanzania huru, utawala thabiti kwa maendeleo yetu sote. naye ni ZITO ZUBERI K!