Recent content by YUSON

  1. Y

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Akhsante Dr. infact mimi nimekuwa nikipiga mara 2 au 1 tu kwa wiki ni mwaka wa kumi sasa je, madhara gani naweza pata baadaye au kwa kuwa ni chini ya mara 4 kwa wiki iko sawa?
  2. Y

    Nimrod Mkono aitisha CCM

    'mkono, vua gamba vaa gwanda' hicho sio chama tena!
  3. Y

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    wewe jamaa kilaza kweli kweli, unadhani nchi inaongozwa kwa sababu mtu ni Tajiri, aliyehitimu digrii siku nyiingi, au mwenye majumba ya kifisadi? anahitajika mtu mwenye fikra pevu, huruma ya uzalendo na anayeweza kuileta Tanzania huru, utawala thabiti kwa maendeleo yetu sote. naye ni ZITO ZUBERI K!
Back
Top Bottom