hapo umenena mzee, hata mimi uwa napenda kununua story ikiwa imekamilika. nalipa, unanipa mzigo tunamalizana. kuna jamaa mmoja alikuwa anauza story, nikajua imeikamilika! nikalipia; si nikashangaa katuma hadithi nusu. nikamuuliza, mzee mbona unatuma mzigo nusu?! akajibu, bado naandika. aliniboa...
kwani pesa ya algeria na Tanzania ni sawa? alafu ata marekani wenye dola mafuta yamepanda bei na nchi nyingine zote. kwahiyo umeona tanzania ndio mafisadi sanaaa?!! wapi ambapo amna mafisadi huko na mimi niende?
tunaomba na MUNGU anajibu! huo ndo uthibitisho kuwa Mungu yupo. siku ukiumwa na madaktari na waganga wakashindwa kukutibu, nitafute nikuonyeshe MUNGU. BINAFSI, MWAMPOSA NI NABII WA UWONGO. HAKUNA KUHANI WA MUNGU ASIYEHUBIRI KUWA UFALME WA MUNGU UMEKARIBIA NA KUKEMEA DHAMBI. HAKUNA KUHANI WA...
ukisoma vitabu nilivyokuolodheshea, utapata jibu la swali lako. na kama bado kafuatilie youtube "ROBERT TV TANZANIA" Mungu kaweka sheria na kanuni kwa binadamu.
sometimes! kukaa kimya ni hekima pia. ukisoma kumbukumbu la torati 12:5-9, malaki 3:8-12, mathayo 23:23-24. katika vitabu hapo juu, MUNGU anazungumzia kuhusu kumtolea sadaka, kupitia kuhani wake(NOTE:KUPITIA KUHANI WAKE) na faida utakayoipata wewe. kwahiyo sadaka ni agizo la MUNGU na sheria kama...
sidhani kama MUNGU atakubali sifa, angali anajua umepotea.(kwa mfano) musa alipofanya miujiza, ili israel waondoke misri, na kuwa huru. farao nae alifanya yake ili kuwazui wasiondoke. ndio maana ukaambiwa ; UKISITAAJABU YA MUSA UTAYAONA YA FIRAUNI(farao). miujiza ya shetani, kazi yake ni...
kwa kweli biblia sio quran. sio kila mtu akisoma, ataelewa. YESU akupigana na yeyote. na aliposulubiwa aliwasamehe. alafu usichanganye mada. siku nyingine ukiongelea uislam, TUMIA QURAN. HAUWEZI kutumia katiba ya TZ, nchini kenya(ni mfano)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.