Recent content by Yurt

  1. Yurt

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    sehemu nyingine tunatunga wenyewe
  2. Yurt

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    hapo umenena mzee, hata mimi uwa napenda kununua story ikiwa imekamilika. nalipa, unanipa mzigo tunamalizana. kuna jamaa mmoja alikuwa anauza story, nikajua imeikamilika! nikalipia; si nikashangaa katuma hadithi nusu. nikamuuliza, mzee mbona unatuma mzigo nusu?! akajibu, bado naandika. aliniboa...
  3. Yurt

    JamiiForums Tanzania Mafuta nchini Algeria ni Tsh 850 tu kwa lita!! SISI tunakwama wapi??

    kwani pesa ya algeria na Tanzania ni sawa? alafu ata marekani wenye dola mafuta yamepanda bei na nchi nyingine zote. kwahiyo umeona tanzania ndio mafisadi sanaaa?!! wapi ambapo amna mafisadi huko na mimi niende?
  4. Yurt

    JamiiForums Tanzania RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

    hapo ndo utajua kabila alisaidia maendeleo ya mtu binafsi.
  5. Yurt

    JamiiForums Tanzania RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

    acknowledgement ya kikabila imeanza lini? Na unadhani ukabila unaanzaje, kama sio kwa njia hizo?! pia unaweza kunipa faida ya hiyo acknowledgement?
  6. Yurt

    JamiiForums Tanzania RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

    huyu mzee alifikiria nini? au anataka kuleta vita ya kikabila?!
  7. Yurt

    JamiiForums Tanzania Mwamposa, ni vyema ukarekebisha baadhi ya vitu ambavyo ni kero kwa waumini wako na jamii kwa ujumla

    tunaomba na MUNGU anajibu! huo ndo uthibitisho kuwa Mungu yupo. siku ukiumwa na madaktari na waganga wakashindwa kukutibu, nitafute nikuonyeshe MUNGU. BINAFSI, MWAMPOSA NI NABII WA UWONGO. HAKUNA KUHANI WA MUNGU ASIYEHUBIRI KUWA UFALME WA MUNGU UMEKARIBIA NA KUKEMEA DHAMBI. HAKUNA KUHANI WA...
  8. Yurt

    JamiiForums Tanzania Mwamposa, ni vyema ukarekebisha baadhi ya vitu ambavyo ni kero kwa waumini wako na jamii kwa ujumla

    UNAWEZA KUTHIBITISHA KUWA MUNGU HAYUPO!?
  9. Yurt

    JamiiForums Tanzania Mwamposa, ni vyema ukarekebisha baadhi ya vitu ambavyo ni kero kwa waumini wako na jamii kwa ujumla

    ukisoma vitabu nilivyokuolodheshea, utapata jibu la swali lako. na kama bado kafuatilie youtube "ROBERT TV TANZANIA" Mungu kaweka sheria na kanuni kwa binadamu.
  10. Yurt

    JamiiForums Tanzania Mwamposa, ni vyema ukarekebisha baadhi ya vitu ambavyo ni kero kwa waumini wako na jamii kwa ujumla

    sometimes! kukaa kimya ni hekima pia. ukisoma kumbukumbu la torati 12:5-9, malaki 3:8-12, mathayo 23:23-24. katika vitabu hapo juu, MUNGU anazungumzia kuhusu kumtolea sadaka, kupitia kuhani wake(NOTE:KUPITIA KUHANI WAKE) na faida utakayoipata wewe. kwahiyo sadaka ni agizo la MUNGU na sheria kama...
  11. Yurt

    JamiiForums Tanzania Mwamposa, ni vyema ukarekebisha baadhi ya vitu ambavyo ni kero kwa waumini wako na jamii kwa ujumla

    sidhani kama MUNGU atakubali sifa, angali anajua umepotea.(kwa mfano) musa alipofanya miujiza, ili israel waondoke misri, na kuwa huru. farao nae alifanya yake ili kuwazui wasiondoke. ndio maana ukaambiwa ; UKISITAAJABU YA MUSA UTAYAONA YA FIRAUNI(farao). miujiza ya shetani, kazi yake ni...
  12. Yurt

    JamiiForums Tanzania Sweden: Waandamanaji wachana chana Quran hadharani, Ubalozi wa Sweden Baghdad wachomwa moto

    pole sana ndugu kwa kukosa.....
  13. Yurt

    JamiiForums Tanzania Sweden: Waandamanaji wachana chana Quran hadharani, Ubalozi wa Sweden Baghdad wachomwa moto

    kwa kweli biblia sio quran. sio kila mtu akisoma, ataelewa. YESU akupigana na yeyote. na aliposulubiwa aliwasamehe. alafu usichanganye mada. siku nyingine ukiongelea uislam, TUMIA QURAN. HAUWEZI kutumia katiba ya TZ, nchini kenya(ni mfano)
  14. Yurt

    JamiiForums Tanzania Sweden: Waandamanaji wachana chana Quran hadharani, Ubalozi wa Sweden Baghdad wachomwa moto

    wangeacha mungu wao ajitetee mwenyewe
Back
Top Bottom