Recent content by Yunus Mj

  1. Y

    Gharama walizotumia CCM kuwalipa Wanamuziki

    hiyo ni kaz ya mahakama hata kama rais atakua lowasa hapaswi kungilia mhimili wa judiciary hivyo cha msingi peleken tu ushahidi ukiwa waz bila shaka watawajibishwa
  2. Y

    Gharama walizotumia CCM kuwalipa Wanamuziki

    unadai hiyo ni siku 1 sikumbuki ni jukwaa lipi walipanda wasanii hao wote hata hivyo kila chama kina vyanzo vya mapato na sheria ya gharama za matumiz ya kampeni ipo wazi so hata usiwaze bila shaka ishauliza gharama ya kukodi helkopta ya cdm na pia ushapiga hesabu ni sawa na madawati mangapi...
Back
Top Bottom