mfano wew ndo unaletew huo mchele unanunuaj kwa kilo ?
je unlipia cash au ndo mpka uuze?
je ni grade gan ya mchele ambyo unanunua au inatembea san huko moshi?
na kma unaletew more than tani tano man huwez safirish tano tano ni hasara atleast ton kumi kwa fuso au 15 kwa tandum unauwezkan wa...
Nikweli ila miji mikubwa hasa dar kuna stareh za kila ain watu weng huko tyr ufulska ni mwingi sema ndo ivo wantembea na mwavuli wa kuwa ni jiji la kibishara sem n hatar kulik hata mikoa taja sijue njoruma na mbeya
Kwa iringa labda uchukue mazao upelek nje ya mkoa mfano dar na Dodoma hasa maharage na mahindi kwa sasa pesa ipo hapo ila kuhusu biashara iringa mjini ni ngumu labda uende Mafinga kidogo mzunguko wa pesa ni mkubwa sana hasa ukifugua biashara ya spare za malori pia uzaji wa vinywaji vya jumla...
Saa kumi na moja mpka kumi na mbili ni za Mbeya japo nying hutak ulipie nauli ya mbeya hata kam unfika iringa jpo saa sabu unkuwa umefika-za Iringa nying hutega wateja ndo man ningumu kuona zinawah ondok
Si kwel mkuu sample inayotumika kutoa takwim za ukimwi isiwafumbaze
Sample inayotumia mikoa yote tanzania nimoja tuh hujawah jiuliza wah kila siku mikoa ya watu wachache ndo ipo juu all in all ukimwi upo kwote so take care
Ally said ndo pendwa kidogo japo zinatembea mda mrefu Dar ikitoka saa moja iringa hufika saa kumi jioni pia newforce ameanza safari nae ya Dar to Iringa unawez lijaribu pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.