Nimeamini mabadiliko kwetu watanzania ni ndoto... inakuwaje wana JF mnatukatisha tamaa wanaharakati? TUMETHUBUTU NA TUMEWEZA, SASA TWASONGA MBELE...! Tunajipanga tena na kesho tunaendelea hadi kieleweke!
duh, umenikumbusha mbaaaaaaaaaali... ilikuwa lazima saa 12:30 ushafika shule na saa12 jioni ndio tunatoka, halafu ole wako huyo 12:30 hujatia miguu yako getini. Kimangano alikuwa anatuita ofisini kila j3 after assembly na kuulizza feedback ya mtihani wa jumamosi. tena kwa lugha laiiiiiiiiini na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.