Recent content by ypembe

  1. ypembe

    Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

    Haisaidii tena si njia sahihi ya kumchafua mtu.
  2. ypembe

    Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

    Acha kula mdudu haramu! Cmnyama wa kawaida. ictishe anableed. Hahaaaaa
  3. ypembe

    CCM yatoa miezi 6 kwa waziri wa Elimu kujiuzulu....Vinginevyo itamtimua kwa nguvu

    Ujinga ujingani. walimu wetu tunawanyanyasa vya kutosha, tunawadhalilisha sana, tunawadharau kupindukia. Tuendelee kutekeleza ilani za chama
  4. ypembe

    CCM yatoa miezi 6 kwa waziri wa Elimu kujiuzulu....Vinginevyo itamtimua kwa nguvu

    Inakatisha tamaa; si rahisi kupata matokeo mazuri endapo hujawekeza. Adaiwae hana kauli kwa mdai. Serikali imeiweka rehani elimu na walimu wake. brn~madeni.
  5. ypembe

    Shirikisho EAC janja ya nyani!

    Kama vip tujiunge na SADEC. wakubanana nae anakuwa 1 tu Malawi.
Back
Top Bottom