Recent content by Youth

  1. Youth

    Yemen iliwaonya kwamba Tel Aviv imeteuliwa kama eneo lisilo salama kabisa

    Mji mkuu wa Marekani ni Tel Aviv, kwa taarifa ya wasiojua ukweli.
  2. Youth

    FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

    😂😂Hao wamanga Al hilal watu halali, Aliali😂😂😂
  3. Youth

    Ujumbe wa Netanyahu kwenda kwa Rais Macron wa Ufaransa

    Wote wehu hamna mwenye akili c US. UK. FRANCE. GERMANY NA Baadhi ua warabu
  4. Youth

    Hivi ni wapi na lini Israel iliwahi kusema inapigana na Waislam au Uislam?

    https://www.jamiiforums.com/threads/tazama-ujumbe-wa-kibabe-aliotoa-netanyahu-kwa-wote-mnaohusika.2262161/ Jibuni na huku mbona kimyaaa.
  5. Youth

    Hivi ni wapi na lini Israel iliwahi kusema inapigana na Waislam au Uislam?

    Kwani Gaidi maana yake nini? sema.
  6. Youth

    LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran

    Shetani katika ubora wake, wafuasi wake ni kila aneshangilia, na hapa ndio utawajua ma JFLGBT either wakisema au wakikaa kimya, leteni habari. naamini wata opt kukaa kimya.
  7. Youth

    Bila Iran na Russia kufanya maamuzi magumu, Marekani na Israeli wataendelea kuwanyanyasa sana

    Unapotaja Gaidi tunajua mnamaanisha nini, tuna IQ kubwa.
  8. Youth

    Bila Iran na Russia kufanya maamuzi magumu, Marekani na Israeli wataendelea kuwanyanyasa sana

    Soma historia wewe kwani dunia imeamka Otober 7? kwa hiyo unafiki wa mkristo ni kutetea haki ya bianaadamu.
  9. Youth

    Bila Iran na Russia kufanya maamuzi magumu, Marekani na Israeli wataendelea kuwanyanyasa sana

    Unasema "hvo vita US hataki sababu ni vya madhara makubwa" Ila yeye kudhuru wasio na hatia ni sawa, kipi bora, ukoma au kunyanayaswa' pimeni mambo kwa mezani.
  10. Youth

    Bila Iran na Russia kufanya maamuzi magumu, Marekani na Israeli wataendelea kuwanyanyasa sana

    Mkuu upo sawa kabisa, unaona mbali sana na hiyo siku ipo tu watakapo tiwa adabu, naamini mkuki kwa ngurue.
  11. Youth

    Meli za kivita za Marekani na miji ya Israel kuendelea kushambuliwa Mashariki ya Kati ni ujumbe mzito wa mustakbali wa usalama wa dunia

    Sisi ni kina mwamba Hamza tunawalia timing mayahudi na kutumaliza wasahau. sana sana wanazidi kuamsha mashahidi wapya.
Back
Top Bottom