Recent content by youngin

  1. Y

    Vitabu vya elimu ya fedha na uwekezaji vinauzwa

    Asante sana. naweza pata mawasiliano yake
  2. Y

    Vitabu vya elimu ya fedha na uwekezaji vinauzwa

    Vitabu zifuatavyo vinapatikana na vitaweza kukusaidia kwa kiasi kikubwa kupata elimu ya fedha na uwekezaji. 1. Increase your Finanncial IQ by Robert Kiyosaki 2. School of money by Olumide O Emmanuel 3. Cash flow Quandrant by Robert Kiyosaki 4. Guide to Investing by Robert Kiyosaki 5. Rich Dad...
  3. Y

    Platform ya uwekezaji katika hisa, bonds na Mutual funds

    Vijana wameanzisha mobile app ya kujifunza kuhusu masuala ya uwekezaji, App hiyo inapatikana play store. https://play.google.com/store/apps/details?id=com.wapnum.yiflms
  4. Y

    Fahamu kuhusu HISA

    Hisa ni nini? Hisa ni sehemu ya umiliki wa kampuni. Hivyo hisa inawakilisha asilimia fulani ya umiliki katika kampuni. Kama kampuni ina hisa milioni moja na mwekezaji (mwanahisa) anamiliki hisa 100,000 mwekezaji huyu anamiliki 10% ya kampuni. Mwekezaji anayenunua hisa basi ananunua haki ya...
  5. Y

    Hisa za CRDB zimeanza kupanda bei kama mwaka jana (2020)

    inazidi kupanda tu @ Soko la hisa, UTT AMIS na Hatifungani
  6. Y

    Hisa za CRDB zimeanza kupanda bei kama mwaka jana (2020)

    Habari wana JF @ Soko la hisa, UTT AMIS na Hatifungani CRDB Bank PLC ni kampuni mojawapo iliyoorodheshwa hisa zake katika soko la hisa la DSE. Hisa za CRDB zimekuwa zikifanya vizuri katika soko la hisa la DSE kwa urahisi wa kuuza au kununua, mabadiliko ya bei na kutoa gawio wa wanahisa wake...
  7. Y

    Considerations for 2021

    CONSIDERATIONS FOR 2021 ________________________________ @Soko la hisa, Utt AMIS na Hatifungani 1. ON EARNING: Never depend on single income. Make investment to create a second chance. _________________________________ 2. ON SPENDING: If you buy things you do not need, soon you will have to...
  8. Y

    Jinsi ya kusajili blog

    Habari za muda wana JF, Binafsi ninataka kusajili blog inayotoa elimu kuhusu biashara. Nikaenda TCRA kwa ajili ya kusajili, nikajibiwa hadi niwe na kampuni ndio naweza sajili blog na sio mtu binafsi. Pia ninatakiwa kulipia tsh 1000,000 kila mwaka kwa ajili ya leseni. Sasa nikawa najiuliza...
  9. Y

    Je, majukwaa ya mtandaoni yanapataje hela?

    Habari za muda wana JF, Kwa yeyote anayejua namna gani majukwaa ya mtandaoni Kama hii JF ,Ina pataji hela( Faida) ?
  10. Y

    Ufahamu mfuko wa uwekezaji UTT

    Hamna shida hii project itawafikia wengi sana na kuwanufaisha Watanzania Wengi. Kufahamu zaidi unaweza kunicheki 0746617796
  11. Y

    Ufahamu mfuko wa uwekezaji UTT

    Kuna project namalizia kuifanya kuhusu mambo haya ya elimu ya uwkezaji , ikikamilia nitakujulisha hopefully itasaidia sana kuelewa haya mambo
  12. Y

    Ufahamu mfuko wa uwekezaji UTT

    Aaah sema kununua hisa unatumia mawakala wa Soko la hisa, wengi wapo dar but hata kupitia Crdb bank unaweza nunua
  13. Y

    Ufahamu mfuko wa uwekezaji UTT

    Aaah sio sana, afu kwenye Soko la hisa Kuna product zaidi ya hisa, Kuna hatifungani pia Kuna vipande vya utt nazo zipo frexh
Back
Top Bottom