Poleni na majukumu Wana JF,
Ni matumaini yangu mpo wazima wa afya tele.
Mm ni mtumishi wa mamlaka ya maji X. Ombi langu kwenu ni kunisaidia zaidi kimawazo kwamba nitumie njia gani hasa niweze pata uhamisho kwenda wizara tofauti na hii niliyopo?
Kwani nimejaribu Mara kadhaa kufuata taratibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.