Je, kuna mtu humu ndani alishawahi kufanyaga interview ya ufadhili wa masomo inayotolewa na Bank of Tanzania (BoT)?
Kama umeshawai kufanya ni maswali yapi huwa wanapendelea kuuliza?
Kwa anayejua anisaidie.
Je, kuna mtu humu ndani alishawahi kufanyaga interview ya ufadhili wa masomo inayotolewa na Bank of Tanzania (BoT)?
Kama umeshawai kufanya ni maswali yapi huwa wanapendelea kuuliza?
Kwa anayejua anisaidie.
Wewe ndo huna kazi ... Nani kakuambia mimi sina kazi... Auna jibu lolote unalopoka kama dada ako tu ... Sanyingine mtu anauliza ku compare masilahi tunachojali ni pesa wapi zipo nyingi ata kama ingekua n wewe ungeuliz...tatizo tanzania yetu imejaza wajinga weng kama wewe na awapungui...
Ujue sometimes mtu unauliza u compare masilahi uezi kwenda kwenda kuna watu n wajuzi wanajua ila sas majinga kaka n mengi ...unauliza limtu linajibu kama lilevi 😂😂😂😂
Bora ata umemuambia yani izo akili zake mm naonaga wadada na wamama ndo wanazo nashangaa kuziona kwa watoto wa kiume yani mtu anaongea kama kakatwa kichwa ... Yani mtu kama ajui jibu anajiongelea tu ilimlad na yeye aonekane ali comment kama lijinga tu 😂😂😂
Asante bro... Tanzania tungekua na watu kama ww tungefika mbali ...sana ... Saiv tumejawa na tanzania ya walopokaji tu yan kuna watu kax yao n kuingia na kulopoka tu kwenye maswali ya watu... Yan unakuta alinaga lolote linalofanya umu n ku comment ujinga tu 😂😂
Bro sikuiz 😂😂😂 kuna manaume kama mamama mtu ameuliza lingine linakuja linalopoka kama jinga 😂😂😂 mwingine unakuta yupo private anauliza acompare masilahi ... Lingine linafika linabwabwaja ...ndo tanzania yetu hii kaka yamejaa malopokaji kama manamake 😂😂😂 tuwaaache tu
Ona ili nalo linakurupuka kama lipo usingizini ... Kama limebanwa kunya ... Tatizo watu wa umu baadhi mmeshazoea kuropoka ropoka kama wanawake amnaga la kujib kama uwez kujib siutulize tako 😂😂😂 acha wenge bro soma elewa jibu kama unaweza kama uwez kitulize
Naomba kufahamu kuhusu mshahara wa mtu aliyeajiriwa kama Polisi ila mwenye taaluma ya fani ya uhandisi( engineer). Je watu hawa wanalipwa shilingi ngapi?
Na mpangilio wa posho umekaaje?
Anayejua please 🙏🙏🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.