Sio kufananishwa nakupa tu mfano, kuna andiko linasema je baba anaweza kuombwa mkate na mwanae akampa jiwe? La hasha, je si zaidi baba yenu wa mbinguni, ukiombacho unapewa sawasawa na mapenzi yake, huo ni mfano kuwa yanayofanyika dunian kwa MUNGU ni vile ila ni zaidi, ukimpa mtu kitu akashukuru...
We unachekesha kweli kwa iyo unafikiri ukifa uko mbele bado utakua mwanaume, afu MUNGU hana dini ameweka mpango wake ambao wote watafata bila kujali muislam, mkristo wala dini yoyote
Mpaka mwanamke kufikia hatua iyo ujue kashajipanga, ninayo mifano , wanaendelea na maisha vzr tu hakuna kelele, maana utalia mpk lin wakat mwanaume yeye furaha yake ni nje sio familia aliyoitafuta mwenyew
Ndio maana wanawake nao wanatafuta mtu nje wa kumpa faraja kimya kimya, zaman nilikua nashangaa, lkn kwa mtazamo wako huo kama mwanamke huna hofu ya MUNGU lzm uwe nae nawew nje, maana kila siku kilio ndani mume anakusaliti inafika mahali unafuta machozi unaangalia maisha mengine,
Dah bora kumbe kuna wanaume wana
Dah bora kumbe kuna wanaume sio wabinafsi wanafikiria mwanamke anavyojisikia kwa iyo situation, wanaume wengi wangefikiria ivyo labda wangepunguza kuumiza wanawake, maana ni maumivu mno
Kweli kabisa umeongea, mambo aya yapo mtaani kila siku wanawake wanafumaniwa lkn sijawahi kuona wanaachwa, yanasoviwa maisha yanaendelea, lkn jf kila mtu mmbabe, ingekua ivyo kusingekuwa na ndoa tena, tafuta watu wazima , sio wew wa kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.