NHC ni shirika la kitaifa,inakuwaje mkoa au mji mmoja unakuwa na miradi ya mabilioni ya shilingi inayoendelea halafu miji mingine haina hata mradi mmoja?
Kuna maeneo kuna nyumba za NHC tena unakuta ni moja tu lakini inachukua miaka kukamilika wakati huko kwingine kunajengwa nyumba nyingi tena...
Kiukweli umekuwa unajitahidi sana kupigania mambo ya kitaifa zaidi lakini jimboni kwako unakusahau..haitoshi kujivuna kwamba Iringa kuna maji ya kutosha kwa kuwa ule ni mradi uliokuwepo kabla yako,ni juhudi ya mbunge aliyekutangulia Monica Ngenzi Mbega.
Kuna kero ambazo tumekuwa tunajipa moyo...
>>MKUU MIMI SIPIGII DEBE CHAMA CHOCHOTE,SISI TUNACHAGUA MTU ,HATUCHAGUI CHAMA...zamani na kwa sasa huko vijijin kama Isimani,Kalenga ndo bado wanaangalia kwenye kijani ndo wanapiga alama ya vema bila kujali mgombea ni nani<<
>>MKUU MIMI SIPIGII DEBE CHAMA,SIKU HIZI TUNACHAGUA MTU,HATUCHAGUI CHAMA...zamani sana ndo walikuwa wanaangalia kwenye kijani ndo wanapiga alama ya vema bila kujali mgombea ni nani<<
>>mwakalebela bado ni mwiba wao,na kama unataka kuamini tuombe mungu atupe uzima 2015 kama akijitosa utaona shughuli yake na utajua who is mwakalebela<<
Kwa miaka kadhaa Viongozi wa Manispaa ya Iringa wamekuwa wakiongea mipango mingi ya kuifanya manispaa hiyo inawiri na kupendeza kimazingira,lakini kwa mtu anayeijua manispaa ya Iringa ambayo iliwahi kushika nafasi ya kwanza kitaifa kwa usafi wa mazingira na mara kadhaa ikishika nafasi ya pili...
Kuna siku moja nilikuwa namsikiliza Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa akizungumzia mambo mbalimbali yahusuyo Halmashauri yake.
Miongoni mwa hayo ni kwamba halmashauri imetenga eneo maalum kwa ajili ya uwekezaji,akasema hawamwelewi Mhe Mbunge ambaye kwa nafasi yake ana wigo mpana wa kutafuta...
Kama kweli Chama cha Mapinduzi Iringa kina nia ya kulirejesha jimbo la Iringa mjini ktk himaya yao..tunaomba wafanye wawezavyo 2015 watuletee HANSPOPPE au MWAKALEBELA.
Kwa sisi tulio huku mitaani wawili hao wanatajwatajwa sana,watu wanawahtaji sana na wanaamini ndio wenye uwezo mkubwa wa...
Hapa niko hospitali ya rufaa Mbeya,kuna wagonjwa ambao wamefika tangu saa 1,mpaka sasa ni saa 4 bado huduma hazijaanza eti madaktari wapo kwenye kikao...kiukweli napata tabu kupata jibu kwamba..>ni kwa nini vikao vinafanyika muda wa kazi?wakti huohuo ikifika saa 6 tu watasema muda wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.