Meya wa Iringa, Mkurugenzi mnafanya kazi gani? Mji unanuka kwa uchafu.!

yohana charles

Senior Member
Mar 21, 2013
134
10
Kwa miaka kadhaa Viongozi wa Manispaa ya Iringa wamekuwa wakiongea mipango mingi ya kuifanya manispaa hiyo inawiri na kupendeza kimazingira,lakini kwa mtu anayeijua manispaa ya Iringa ambayo iliwahi kushika nafasi ya kwanza kitaifa kwa usafi wa mazingira na mara kadhaa ikishika nafasi ya pili...

LAKINI Iringa ya sasa inanuka,.uchafu umetamalaki as if hakuna viongozi..

Bwana Meya anasema hali hiyo inatokana na upungufu mkubwa wa vikusanyio vya taka na pia upungufu mkubwa wa magari ya kubebea taka..anasema eti wanatarajia kupata gari moja na vikusanyio vya taka vitano..JAMANI yaani gari 1 na vikusanyio taka 5 ? kweli kuna nia ya kumaliza tatizo ama hii ni blabla tu..Cha ajabu wadau wengine kama RC na DC wamekaa kimya tu...

Mungu tusaidie kusitokee magonjwa ya mlipuko maana tutakwisha.!
 
Alafu bado unaipigia debe ccm kweli ulanzi wa mwisho mwisho ni noma

>>MKUU MIMI SIPIGII DEBE CHAMA,SIKU HIZI TUNACHAGUA MTU,HATUCHAGUI CHAMA...zamani sana ndo walikuwa wanaangalia kwenye kijani ndo wanapiga alama ya vema bila kujali mgombea ni nani<<
 
Alafu bado unaipigia debe ccm kweli ulanzi wa mwisho mwisho ni noma

>>MKUU MIMI SIPIGII DEBE CHAMA CHOCHOTE,SISI TUNACHAGUA MTU ,HATUCHAGUI CHAMA...zamani na kwa sasa huko vijijin kama Isimani,Kalenga ndo bado wanaangalia kwenye kijani ndo wanapiga alama ya vema bila kujali mgombea ni nani<<
 
Kwa miaka kadhaa Viongozi wa Manispaa ya Iringa wamekuwa wakiongea mipango mingi ya kuifanya manispaa hiyo inawiri na kupendeza kimazingira,lakini kwa mtu anayeijua manispaa ya Iringa ambayo iliwahi kushika nafasi ya kwanza kitaifa kwa usafi wa mazingira na mara kadhaa ikishika nafasi ya pili...

LAKINI Iringa ya sasa inanuka,.uchafu umetamalaki as if hakuna viongozi..

Bwana Meya anasema hali hiyo inatokana na upungufu mkubwa wa vikusanyio vya taka na pia upungufu mkubwa wa magari ya kubebea taka..anasema eti wanatarajia kupata gari moja na vikusanyio vya taka vitano..JAMANI yaani gari 1 na vikusanyio taka 5 ? kweli kuna nia ya kumaliza tatizo ama hii ni blabla tu..Cha ajabu wadau wengine kama RC na DC wamekaa kimya tu...

Mungu tusaidie kusitokee magonjwa ya mlipuko maana tutakwisha.!

Sio tatizo kama wanaunga mkono CCM. Uchafu utaonekana kama wataonyesha dalili ya kuunga mkono upinzani.
Nyuma ya CCM yamejificha mambo yote yanayodidimiza maendeleo. Angalia vijana wanafungua kijiwe mahali popote almradi kuwe na bendera ya CCM hakuna wa kuwaondoa. Utasikia wacheni vijana wajipatie riziki yao. Fanya lolote nchi hata unavunja sheria - jifiche tu nyuma ya CCM, ndio salama yako!
 
Kwa miaka kadhaa Viongozi wa Manispaa ya Iringa wamekuwa wakiongea mipango mingi ya kuifanya manispaa hiyo inawiri na kupendeza kimazingira,lakini kwa mtu anayeijua manispaa ya Iringa ambayo iliwahi kushika nafasi ya kwanza kitaifa kwa usafi wa mazingira na mara kadhaa ikishika nafasi ya pili...

LAKINI Iringa ya sasa inanuka,.uchafu umetamalaki as if hakuna viongozi..

Bwana Meya anasema hali hiyo inatokana na upungufu mkubwa wa vikusanyio vya taka na pia upungufu mkubwa wa magari ya kubebea taka..anasema eti wanatarajia kupata gari moja na vikusanyio vya taka vitano..JAMANI yaani gari 1 na vikusanyio taka 5 ? kweli kuna nia ya kumaliza tatizo ama hii ni blabla tu..Cha ajabu wadau wengine kama RC na DC wamekaa kimya tu...

Mungu tusaidie kusitokee magonjwa ya mlipuko maana tutakwisha.!

Mameya wanaotokana na ccm wote hovyo hovyo tu
 
Back
Top Bottom