Recent content by Yoghurt

  1. Y

    Naomba maelezo ya Kisimiri High School

    Kwa mtoto anayependa kusoma na iseyependa mambo mbadala anapokuwa shule, hiyo shule ni nzuri sana sana sana. Matokeo yaliyotoka ya mwisho ya kidato cha sita yanajieleza.
  2. Y

    Msaada: Galaxy note 2, line ya tigo haisomi mtandao ila internet inafanya kazi

    Kwa kifupi simu zote zenye imei tata, zimefungiwa au zipo katika hatua za kufungiwa na wahusika. Binafsi nimepatwa na kadhia hii, na hakuna ujanja zaidi ya kujipanga na kununua simu mpya OG
Back
Top Bottom