jamani huyu msoma habari wa Leo ITV mbona ana pozi za ajabu hivi alafu anabetua midomo ata ivona kamuntu ana afadhali. yaani cjui anajaribu kuiga pozi la salim kikeke adi inakua too much .cjafanikiwa kulijua jina lake nikilijua ntawawekea mumjue
out of topic wadau hivi hii baby shower huwa ina umuhimu na maana gani? coz naona waofanyta hiyo kitu ni watu 2 wenye hela zao cjawah kuskia may b, asha madinda kafanya baby shower.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.