Recent content by Yoda

  1. Yoda

    JamiiForums Tanzania Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

    Siku ukirudi ugalatiani mkuu itakuwa ni kilio na taharuki kuu, kama vile Lissu kujiunga na CCM.
  2. Yoda

    JamiiForums Tanzania Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

    Ndio
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kafara ya binadamu katika Biblia. Yeftha akimtoa binti yake sadaka ya kuteketezwa kwa mungu.

    Katika kitabu cha Waamuzi 11 kuna bwana mmoja alimtolea mungu nadhiri ahadi ya kwamba mungu akimsaidia akashinda vita dhidi ya maadui wake kiumbe chochote cha kitakachokuwa cha kwanza kuja kumpokea akiwa anatoka vitani atakitoa sadaka kwa moto wa kuteketezwa. Binti yake alikuwa wa kwanza...
  4. Yoda

    JamiiForums Tanzania Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

    Ni mpango wa mungu hii mada kufika au kutofika mwisho 😁
  5. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa kujiunga na Freemasonry

    Networking, personal development, maarifa ya uongozi, philanthropy n.k.
  6. Yoda

    JamiiForums Tanzania Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

    Huo nao ulikuwa mpango wa mungu.
  7. Yoda

    JamiiForums Tanzania Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

    Kama amekupangia huwezi kuepuka.
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

    Hakuna mtu anachagua umasikini
  9. Yoda

    JamiiForums Tanzania Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

    Ndio
  10. Yoda

    JamiiForums Tanzania Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

    Ndio, nao ni mpango wa mungu.
  11. Yoda

    JamiiForums Tanzania Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

    Ukiwa mjinga ni mpango wa mungu.
  12. Yoda

    JamiiForums Tanzania Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

    Hakuna chochote kinachofanyika ambacho sio mpango wake.
  13. Yoda

    JamiiForums Tanzania Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

    Wewe kuvunja sheria zake pia ni mpango wake.
  14. Yoda

    JamiiForums Tanzania Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

    Ndio
  15. Yoda

    JamiiForums Tanzania Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

    Kama unamuamini mungu kila unachopitia ni mpango wake mungu. Kama wewe ni masikini huo ni mpango wake, Kama umedhulumiwa huo ni mpango wake, Utawala wa CCM ni mpango wake, Kama unaumwa huo ni mpango wake, Ukifiwa ni mpango wake, Ukifungwa ni mpango wake, Ukiibiwa ni mpango wa mungu...
Back
Top Bottom