Aliunda dola na hiyo iko wazi katika historia kwamba kulikuwa na ukoloni wa Waarabu Zanzibar na kiasi cha Pwani ya Africa Mashariki ambapo alinyang'anywa na Wajerumani na Waingereza, ndio maana Zanzibar ina mapinduzi ya 1964 dhidi ya Sultan na Waarabu.
Huo sio ukoloni bali uhamiaji (migration) tu kama vile ambavyo Wangoni walihamia Tanganyika wakitokea Africa Kusini tofauti yao ni kwamba wao Waarabu ana Waajemi walivuka bahari tu. Ukoloni wa wazungu tunaongelea kuundwa kwa dola ya kikoloni Tanganyika ambayo ilikuwa inakusanya kodi, inatunga na...
Wabongo ni wakatili kama binadamu wengine wowote tu wale, kitu ambacho tulikuwa hatujapata ni vichocheo au mazingira, kadri muda unavyoenda hivi vichocheo na mazingira yanakuwepo na hapo ndipo ilo evil nature iliyo katika binadamu wengi inajidhihirisha sasa.
Nafikiri una over analyze vitu mpaka unapitiliza, wakoloni walifika Africa, America na Asia kwa sababu za uchumi zaidi na adventurous spirit. America hakukuwa na Waislamu ila walifika na kumaliza red Indians. Kuhusu Uislamu kushindwa kutia mizizi India ni kwa sababu ancient civilizations za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.