Recent content by Yoda

  1. Yoda

    JamiiForums Tanzania Askofu Masondole: Vijana wengi Tanzania ni Wezi Makazini

    Hata Maaskofu wengi ni wezi.
  2. Yoda

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Kama vile tu kuwaambia CHADEMA wakubali tu mama yenu alipata kura milioni 31 sawa na 98% kwa sababu tu tume ilitangaza na yenyewe ndio final kikatiba🤣
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    You do have weird ways to defend your god indeed!🤣🤣🤣 Ndio yale yale ajali imetokea aliyepona anamshukuru mungu kwa kutoka salama na waliofiwa nao wanamshukuru kwa mapenzi yake kutimizwa. Heads you win, tail I lose🤣🤣🤣
  4. Yoda

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Kama ametupa ramani na akili ya kupambana kwa nini dunia imejaa masikini na dhuluma ? Kwa nini mabilioni ya binadamu hawawezi kujitetea dhidi ya umasikini, magonjwa, njaa na dhuluma??
  5. Yoda

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Then hawezi kuwa judge kama unavyosema itabidi awe na upande na kwenye mahakama ya haki huwezi kuwa judge na wakili pia, hii ni total confusion na contradiction.
  6. Yoda

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Sasa msaada wa mungu nini kama anamuacha binadamu apigane mwenyewe na magonjwa, njaa, majanga, tamaa za mwili n.k huku yeye akiwa mtazamaji tu?! Kama ndio hivyo unaamini ni bora ukaamini diestic god badala huyu Abrahamic god ili kupunguza hizi contradictions zote.
  7. Yoda

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Kula kitimoto, kuoa wake wanne, kunywa pombe na kutokutunza Sabato(kufanya kazi Jumamosi) ni dhambi?
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Hiyo dunia ambayo tunaambiwa itakuwa na raha tu, hakutakuwa na magonjwa, njaa, umasikini majanga na chochote kibaya itaji balance vipi??
  9. Yoda

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Kwenye biblia WaIsrael walikuwa wakivamia mji wanaua kila kitu hadi watoto wachanga na haikuwa kinyume cha maadili yatokanayo na mungu wao aliyewaamuru kufanya hivyo. WaIsrael, Wazungu na Waarabu walikuwa wanamiliki binadamu wengine kama watumwa wakisema wameagizwa na mungu wa dini zao kufanya...
  10. Yoda

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Dhambi ni nini ?
  11. Yoda

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Sijajua kwa nini umetumia mfano wa jaji wakati jaji sio prosecutor ni muamuzi nyutro asiye na upande. Kwa nini wanadamu tuko kwenye mtihani na majaribu kwenye haya maisha ambayo hata hatukuyachagua wenyewe bali tumejikuta tu tupo?? Ushahidi wa mungu unaosema uko wazi kwenye laws of the nature...
  12. Yoda

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Nani aliyeweka au kuruhusu mabaya ulimwenguni?
  13. Yoda

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Stupid question
  14. Yoda

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    What kind of stupid question is this!
  15. Yoda

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Experience gani hiyo unayoificha kama bangi ambayo hutaki kusema kabisa? Ulikamatwa na mkwe wa mtu ukaponea chupuchupu kupakwa mafuta?
Back
Top Bottom