Recent content by Yoda

  1. Yoda

    Raia wa Burundi akamatwa kwa kujifanya msaidizi wa Rais Samia

    Huyu RC anapenda drama sana.
  2. Yoda

    Vijana wasio na adabu wachapwe bakora kwa Mujibu wa Sheria na sio utashi binafsi wa viongozi

    Aliunda dola na hiyo iko wazi katika historia kwamba kulikuwa na ukoloni wa Waarabu Zanzibar na kiasi cha Pwani ya Africa Mashariki ambapo alinyang'anywa na Wajerumani na Waingereza, ndio maana Zanzibar ina mapinduzi ya 1964 dhidi ya Sultan na Waarabu.
  3. Yoda

    Vijana wasio na adabu wachapwe bakora kwa Mujibu wa Sheria na sio utashi binafsi wa viongozi

    Huo sio ukoloni bali uhamiaji (migration) tu kama vile ambavyo Wangoni walihamia Tanganyika wakitokea Africa Kusini tofauti yao ni kwamba wao Waarabu ana Waajemi walivuka bahari tu. Ukoloni wa wazungu tunaongelea kuundwa kwa dola ya kikoloni Tanganyika ambayo ilikuwa inakusanya kodi, inatunga na...
  4. Yoda

    Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Hao ni watuhumiwa tu mpaka sasa.
  5. Yoda

    Vijana wasio na adabu wachapwe bakora kwa Mujibu wa Sheria na sio utashi binafsi wa viongozi

    Wewe sasa nakuweka kundi moja na kina baba-mwajuma Mohamed Said wazee wa revisionist history
  6. Yoda

    Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Wabongo ni wakatili kama binadamu wengine wowote tu wale, kitu ambacho tulikuwa hatujapata ni vichocheo au mazingira, kadri muda unavyoenda hivi vichocheo na mazingira yanakuwepo na hapo ndipo ilo evil nature iliyo katika binadamu wengi inajidhihirisha sasa.
  7. Yoda

    Vijana wasio na adabu wachapwe bakora kwa Mujibu wa Sheria na sio utashi binafsi wa viongozi

    Nafikiri una over analyze vitu mpaka unapitiliza, wakoloni walifika Africa, America na Asia kwa sababu za uchumi zaidi na adventurous spirit. America hakukuwa na Waislamu ila walifika na kumaliza red Indians. Kuhusu Uislamu kushindwa kutia mizizi India ni kwa sababu ancient civilizations za...
  8. Yoda

    Wasioamini mungu (atheists) wanaweza kuwa viongozi Tanzania?

    Waamini wa mungu, miungu au higher power
  9. Yoda

    Wasioamini mungu (atheists) wanaweza kuwa viongozi Tanzania?

    Atheists-Wasioamini Theists-Waamini
  10. Yoda

    Vijana wasio na adabu wachapwe bakora kwa Mujibu wa Sheria na sio utashi binafsi wa viongozi

    Ukristo(Orthodox Christianity) hautumii agano la kale.
Back
Top Bottom