Recent content by Yoda

  1. Yoda

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Au hauvujishi siri za wanaokula kwa urefu wa kamba zao.
  2. Yoda

    Mhashamu Prosper Balthazar Lyimo, Askofu wa Jimbo Katoliki la Bariadi, akiwa pamoja na kaka zake ambao pia ni mapadre

    Toa ujinga wako hapa, ukatoliki sio mali ya baba na mama yako na wala huna hatimiliki yake.
  3. Yoda

    Mhashamu Prosper Balthazar Lyimo, Askofu wa Jimbo Katoliki la Bariadi, akiwa pamoja na kaka zake ambao pia ni mapadre

    Kuoa tu, hasa ukizingatia mapadre na maaskofu wengi tu wanajulikana kutembea na wanawake na wengine hadi wana watoto kwa siri mitaani.
  4. Yoda

    Mhashamu Prosper Balthazar Lyimo, Askofu wa Jimbo Katoliki la Bariadi, akiwa pamoja na kaka zake ambao pia ni mapadre

    Lakini Yesu alisubushwa akiwa bado kijana mdogo miaka 33 tu, Halafu mbona Mtume Petro ambaye ndiye inasemwa kanisa limejengwa juu yake na yeye ndiye papa wa kwanza alioa ??
  5. Yoda

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Huu ndio ujinga mmojawapo CCM wanautumia kuua media na kuficha ufisadi na incompetence. Hiyo natural justice ya kubalance story ni mambo ya mahakamani na quasi judicial bodies.
  6. Yoda

    PICHA: Binti Wa William Lukuvi Katika Huzuni Kubwa Ya Kumpoteza Baba Mzazi. Mungu Ampe Nguvu na Faraja katika kipindi Hiki kigumu

    Ni wa kawaida tu, pesa na umaarafu ndivyo vimekuzuzua hapo.
  7. Yoda

    Wasioamini uwepo wa Mungu wasibezwe, ila nao wasituone sisi tunaoamini kama tumechanganyikiwa

    Watu wa Abrahamic religions huwa wanaongea kwa tambo na kujiamini sana kana kwamba wao tu ndio wako duniani kote na wao pekee ndio wenye ukweli wote na mungu pekee wasijue wao ni nusu tu ya dunia na nusu nyingine iliyobaki wana mambo yao tofauti kabisa na miungu yao au atheists wasiojali...
  8. Yoda

    Sisi ambao tuna amini uwepo wa Mungu Tumewazidi vitu gani ambao hawaamini kabisa uwepo wa Mungu?

    Katiba ni kijitabu tu, Hatari sio lazima ukatwe kichwa. Kunyimwa fursa, kuonekana umechanyikwa, kutengea na kufanywa pariah zote ni hatari pia.
Back
Top Bottom