Recent content by Yoda

  1. Yoda

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Hiyo wanayosema kila mtaa kuwa stendi ni straw man argument ya watu wenye akili ndogo.
  2. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ni kweli wanaume wote wanapenda kupigwa mnyonyo?

    Blowjob
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ni kweli wanaume wote wanapenda kupigwa mnyonyo?

    Wewe huwa hufanyi mapenzi saa kumi na mbili asubuhi??
  4. Yoda

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Kwa nini apande basi la kupitia Bagamoyo wakati yapo mabasi ya kupitia Chalinze-Kibaha- Mbezi?? Nyie watu mnaoihusudu hiyo stendi Magufuli mna ubongo kama wa kuku.
  5. Yoda

    JamiiForums Tanzania Chief Justice na Mahakama: Hili la Mawakili kuongea na vyombo vya habari viunga vya mahakama ndilo tatizo kubwa la judiciary?

    Hii nchi ni kama mihimili yote huwa haielewi au inajifanya kutolewa vipaumbele na mahitaji halisi ya raia.
  6. Yoda

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Wenzako hawataki hivi sasa, wanataka bus zote Dar nzima safari zao zianzie na kuishia Magufuli Stendi Mbezi, wao wanaita "stendi kuu". Na kusiwepo kabisa matumizi ya Ofisi binafsi za gari kupakiza au kushusha abira. Yani kama unaishi pembeni ya office za New Force hapo Ubungo au umetoka na mzigo...
  7. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    CDM na TEC wanataka nini ambacho Waislamu wao hawakitaki au kinawakwaza?
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Wazanzibar wanaotoka Zanzibar, wakazi wa Kigamboni, Posta na Kariakoo wao wapandie na kushukia wapi kwenda au kutoka mikoani ? Kwa nini umefikiria njia kuu zinazoingia tu Dar na hujafikiria kuhusu njia kuu zinazotoka Dar pia ambapo watu wanaishi?
  9. Yoda

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Hakuna haja ya kupoteza pesa kwenda kutembelea huku, mtafute mtu tu anayejua Kingereza akutafsirie haya maelezo kuhusu Seoul ya Korea Kusini iliyo na ukubwa sawa na Dar👇
  10. Yoda

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Kwa nini umetaka kuwe na stendi 3 na sio 4, 5, 6 au 10? Na kwa nini umeamua yawe ni hayo maeneo tu peke yake?? Vigezo gani umetumia?
  11. Yoda

    JamiiForums Tanzania TEC sitisheni mara moja mpango wa kumfanya Nyerere Mtakatifu, ni jambo la hasara zaidi kuliko faida.

    Basi TEC waache kumuandama
  12. Yoda

    JamiiForums Tanzania TEC sitisheni mara moja mpango wa kumfanya Nyerere Mtakatifu, ni jambo la hasara zaidi kuliko faida.

    Paulo alitubia na kujutia unyama wake.
  13. Yoda

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Hawana mawazo mazuri, ni mawazo mabaya ya hovyo sana.
Back
Top Bottom