Kama unamuamini mungu kila unachopitia ni mpango wake mungu.
Kama wewe ni masikini huo ni mpango wake,
Kama umedhulumiwa huo ni mpango wake,
Utawala wa CCM ni mpango wake,
Kama unaumwa huo ni mpango wake,
Ukifiwa ni mpango wake,
Ukifungwa ni mpango wake,
Ukiibiwa ni mpango wa mungu...