Kwa nini apande basi la kupitia Bagamoyo wakati yapo mabasi ya kupitia Chalinze-Kibaha- Mbezi??
Nyie watu mnaoihusudu hiyo stendi Magufuli mna ubongo kama wa kuku.
Wenzako hawataki hivi sasa, wanataka bus zote Dar nzima safari zao zianzie na kuishia Magufuli Stendi Mbezi, wao wanaita "stendi kuu". Na kusiwepo kabisa matumizi ya Ofisi binafsi za gari kupakiza au kushusha abira. Yani kama unaishi pembeni ya office za New Force hapo Ubungo au umetoka na mzigo...
Wazanzibar wanaotoka Zanzibar, wakazi wa Kigamboni, Posta na Kariakoo wao wapandie na kushukia wapi kwenda au kutoka mikoani ?
Kwa nini umefikiria njia kuu zinazoingia tu Dar na hujafikiria kuhusu njia kuu zinazotoka Dar pia ambapo watu wanaishi?
Hakuna haja ya kupoteza pesa kwenda kutembelea huku, mtafute mtu tu anayejua Kingereza akutafsirie haya maelezo kuhusu Seoul ya Korea Kusini iliyo na ukubwa sawa na Dar👇
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.