Lakini Yesu alisubushwa akiwa bado kijana mdogo miaka 33 tu,
Halafu mbona Mtume Petro ambaye ndiye inasemwa kanisa limejengwa juu yake na yeye ndiye papa wa kwanza alioa ??
Huu ndio ujinga mmojawapo CCM wanautumia kuua media na kuficha ufisadi na incompetence. Hiyo natural justice ya kubalance story ni mambo ya mahakamani na quasi judicial bodies.
Watu wa Abrahamic religions huwa wanaongea kwa tambo na kujiamini sana kana kwamba wao tu ndio wako duniani kote na wao pekee ndio wenye ukweli wote na mungu pekee wasijue wao ni nusu tu ya dunia na nusu nyingine iliyobaki wana mambo yao tofauti kabisa na miungu yao au atheists wasiojali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.