You do have weird ways to defend your god indeed!🤣🤣🤣
Ndio yale yale ajali imetokea aliyepona anamshukuru mungu kwa kutoka salama na waliofiwa nao wanamshukuru kwa mapenzi yake kutimizwa.
Heads you win, tail I lose🤣🤣🤣
Kama ametupa ramani na akili ya kupambana kwa nini dunia imejaa masikini na dhuluma ?
Kwa nini mabilioni ya binadamu hawawezi kujitetea dhidi ya umasikini, magonjwa, njaa na dhuluma??
Then hawezi kuwa judge kama unavyosema itabidi awe na upande na kwenye mahakama ya haki huwezi kuwa judge na wakili pia, hii ni total confusion na contradiction.
Sasa msaada wa mungu nini kama anamuacha binadamu apigane mwenyewe na magonjwa, njaa, majanga, tamaa za mwili n.k huku yeye akiwa mtazamaji tu?!
Kama ndio hivyo unaamini ni bora ukaamini diestic god badala huyu Abrahamic god ili kupunguza hizi contradictions zote.
Kwenye biblia WaIsrael walikuwa wakivamia mji wanaua kila kitu hadi watoto wachanga na haikuwa kinyume cha maadili yatokanayo na mungu wao aliyewaamuru kufanya hivyo. WaIsrael, Wazungu na Waarabu walikuwa wanamiliki binadamu wengine kama watumwa wakisema wameagizwa na mungu wa dini zao kufanya...
Sijajua kwa nini umetumia mfano wa jaji wakati jaji sio prosecutor ni muamuzi nyutro asiye na upande.
Kwa nini wanadamu tuko kwenye mtihani na majaribu kwenye haya maisha ambayo hata hatukuyachagua wenyewe bali tumejikuta tu tupo??
Ushahidi wa mungu unaosema uko wazi kwenye laws of the nature...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.