Recent content by Yoda

  1. Yoda

    JamiiForums Tanzania Bilioni 50 kujenga km 2 za Barabara. Kristo uturehemu

    Wizi mtupu, Tanzania inatafunwa sana.
  2. Yoda

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna jamii yenye wanawake warembo zaidi ya wanawake wenye asili ya Africa?

    Makalio kwako ndio uzuri?
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Huyo atakuwa anatania tu, mbona kuna mke Manara alisema alimtoa Mbagala uswazi lakini akakubali kuishi ushuani sijui mikocheni au Oysterbay huko anapoishi.
  4. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini Marekani wana economic cooperation with China? Dunia ina unafiki sana

    Mfumo wetu wa kisiasa na utawala Tanzania ni upi?
  5. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi wateja kuuziwa vifungashio baada ya kununua bidhaa tena za pesa kubwa tu?

    Cha kufanya ukienda kununua bidhaa kama mtu akupi kifungashio muachie bidhaa zake.
  6. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Boda na Bajaji vinaingia mjini kwa sababu hatuna usafiri mwingine wa kueleweka wa umma, vinginevyo wangekuwa wa kufanya delivery na kubeba mizigo tu ila sio abiria.
  7. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Tatizo kubwa zaidi sio hata uwepo wake bali utaratibu. Wamachinga wawepo ila wasifanye biashara barabarani sehemu za watu kupita, wasiweke vispika vyao vya kelele na pia wasisumbue wapita njia. Boda ndio wendawazimu kabisa, yani wanapita popote bila utaratibu, wanagonga watu, wanagongwa na...
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kama tunavyowaambia CCM hii nchi sio yenu peke yenu. Vivyo hivyo na CHADEMA hamna hatimiliki ya Ukweli na Demokrasia peke yenu

    Ukiwa na akili lazima ujiulize kwa nini watu wanapinga matokeo katika chaguzi zote nchini kwako na kwa nini sehemu nyingine duniani watu hawapingi matokeo. Watu wenye mawazo kama yako ambao ndio wengi CCM pia huwa mnafikiri uchaguzi ni tukio la siku moja tu la kupiga kura. Huko US hata shughuli...
  9. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Mwafrika haitaji elimu bali mijeledi, faini au kukichukia kabisa hiko chombo akifanya hovyo barabarani.
  10. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Inakuaje njia za watembea kwa miguu zinakuwa na bodaboda, maguta na Bajaji??
  11. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kama tunavyowaambia CCM hii nchi sio yenu peke yenu. Vivyo hivyo na CHADEMA hamna hatimiliki ya Ukweli na Demokrasia peke yenu

    Namaanisha watu ambao ni kama wanachama base wa CHADEMA. Unaweza kuwa unafikiria kila mtu anayeongea lugha ya CHADEMA kwa sasa ni mwanaCHADEMA jambo ambalo sio sahihi. Kuna watu wengi wanazungumza lugha moja na CHADEMA kwa sasa kwa sababu wamechoshwa na CCM na Samia, siku CCM ikiondoshwa...
  12. Yoda

    JamiiForums Tanzania Naombeni jibu: Je, viongozi wa harakati za uhuru wanapewa sifa kubwa kuliko hali halisi ya kisiasa iliyokuwepo wakati huo?

    Kitu kikubwa kuhusu Nyerere nafikiri ni legacy ya kuunda taifa moja stable kutoka makabila zaidi ya mia pamoja na dini kubwa mbili tofauti na nchi nyingi za Africa, uhuru wetu kama Tanganyika ilikuwa tuupate kirahisi tu. Mataifa kama Angola, Zimbabwe na Africa Kusini uhuru wao ndio ulikuwa mgumu...
  13. Yoda

    JamiiForums Tanzania Naombeni jibu: Je, viongozi wa harakati za uhuru wanapewa sifa kubwa kuliko hali halisi ya kisiasa iliyokuwepo wakati huo?

    Ni propaganda zilizotengenezwa na watawala wengi weusi na wa nchi za Africa na vikundi vya kudai uhuru vya hapa na pale ili ku legitimize powers zao katika nchi wakoloni walizoziachia. Ni kama vile ambavyo huwa unamsikia Nape anasema aliipambania sana CCM mwaka 2015 hadi akatenguka mikono.
  14. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini Marekani wana economic cooperation with China? Dunia ina unafiki sana

    Kwa sababu China ndio mnufaika mkubwa wa utawala usio wa kidemokrasia wa Tanzania.
  15. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Labda huelewei maana ya uchumi jumuishi. Umachinga barabarani, kazi za Bajaji na bodaboda haziwezi kuleta uchumi jumuishi hata ukiziruhusu hadi ndani ya Ikulu. Uchumi jumuishi unaletwa kwa kazi, ajira au biashara za staha "decent jobs".
Back
Top Bottom