habari wana jamii forum.
nahitaji vifaranga 500 wa mayai (layers), mwenye ujuzi wa wapi nitapata vifaranga wazuri na bei ya kifaranga ni sh. ngapi naomba anisaidie majibu.
nipo Dar es salaam
asante sana.
labda mkuu utusaidiee viip mayai yako unakula mwenyewe au unauza?? kama huyu jamaa kasema wapi utauza mayai ya kuku chotara au hao kuloier...yeye anajua mayai ni ya layers tu..hahahaa
unajua kufuga ni passion...
mimi naona yeye passion yake ni layers na broilers, wapo wengine passion yao ni kufuga chotara, kanga, au bata
kuna facts nyingi sana zinazomfanya mtu afuge kitu flani, ila mjasilia mali siku zote huwa ni opportunistic, huwa tunaangalia soko lako linataka nini ndio...
bro kuku wapo wa aina nyingi sana,
kuna pure breeds
super hybrids na
hybrids
na siku zinavyozidi kwenda tutapata aina nyingi zaidi za kuku, kwa sbb wataalamu wana cross hizi pure breeds ili kupata hybrids ambao wanasifa nzuri zaidi..(thanks to genetics)
lengo la kufanya crossing ni kupata...
layers ni kuku mzuri kufuga
broiler ni kuku mzuri kufuga
chotara/kuloier ni kuku mzuri kufuga
indigenous kienyeji pia ni wazuri..
inategemea na
ujuzi wako
passion yako
eneo ulipo, i mean soko lako
mtaji wako
na muda wako
elimisha watu na usiponde eti kuku flani ni mbaya huyu mzuri.
wewe document zipi za mahesabu umeleta zaidi ya kueleza sijui wana ukuaji hafifu hamna anaekula mayai ya chotara, mahesabu yapi umeleta mzee? acha upotoshaji
hivi unajua broiler wa wiki 8 gharama yake ni kubwa kuliko chotara wa miezi 5 na bado chotara anauzwa si chini ya 10000 per kichwa wakati...
hebu tuambie unaelewa nini kuhusu biashara ya kuku mzee,
mimi mwenyewe ni mfugaji wa hawa ndege na naijua hii biashara vzuri
acha kupotosha watu...futa thread hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.