Madhaifu makubwa ya liverpool yapo kwenye set pieces na wale jamaa ni wazuri sana upande huo.
Licha ya kwamba wanaonekana ni underdogs lakini kikosi chao some how ni kizuri japo attacking line yenu ni bora zaidi. Wamewapoteza Sebastián rudy na Niklas sule wote wameenda bayern lakini nao...
Kuna post huyo mwana aliandika hapo nyuma akimuelezea dembele, kuna mahali akasema alitoka Marseille kabla ya kuja dortmund ndio nikamsahihisha kwamba alitoka Rennes na sio Marseille
Mkuu unaonekana upo mbali sana na suala la usajili au we ni mfuatiliaji wa epl tu,
Bayern wameshasajili Toliso, james, Rudy na beki ya kati sule
Dortmund tumemsajili Toprak, dahoud, max Phillip na zagadou toka PSG.
Schmelzer possibly missing a few weeks
While there is no real confirmation about Marcel Schmelzer’s injury, multiple outlets are suggesting that he might miss 3-4 weeks with torn ligaments in his ankle. The injury occurred during a training session in China.
There are currently no plans to buy...
U21 Euros
The group stage of the U21 Euros are concluded as well with four teams advancing to the semifinals on Tuesday. England, Spain and Italy all won their group while Germany advanced as the best second placed team.
Now England will take on Germany and Spain will play Italy for a place in...
ConFed Cup
The group stage-games of the ConFed Cup are done and now that means onto the semifinals for the four teams that qualified. Both BVB-players (Raphael Guerreiro/Portugal and Matthias Ginter/Germany) in the tournament were able to advance with their teams and even win their respective...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.