Kmmk huo mkeka unaenda kuchanika vibaya mno pamoja na handcup yako. Simama kama mwanaume kama hawezi kukubali kuandika jina lako wewe mwanaume basi hapo huna chako
Hawa wanawake wapumbavu kiasi hicho huwa mnawaokotea wapi, kweli mwanamke anakutishia ataenda kwao na wewe unamwangalia tu. Kuna namna amekupanda kichwani. Pole yake sana huyo mtoto,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.