Recent content by yellow eyes

  1. yellow eyes

    Alinidanganya kaenda Dodoma kumbe yupo Dar, anataka nimtumie nauli

    Ma mkwe wako anaimba wimbo wa zuchu? Wewe bado mvulana
  2. yellow eyes

    Mpenzi wake ni mweupe, hatoi hela na ana kibamia afanyaje?

    Huna cha kufanya we bibi? Unatuchosha na manyuzi yako yasiyo na kichwa wala miguu.
  3. yellow eyes

    Ajabu; Nimetongozwa na mwanamke mwezangu

    Kwamba ndege wafananao huruka pamoja siyo
  4. yellow eyes

    Nipo njiapanda kwenye ndoa yangu mpya. Naomba mnishauri mliooa 🤔

    Kmmk huo mkeka unaenda kuchanika vibaya mno pamoja na handcup yako. Simama kama mwanaume kama hawezi kukubali kuandika jina lako wewe mwanaume basi hapo huna chako
  5. yellow eyes

    Nilimdharau huyu mzee, siku niliyompa tunda nikajuta!

    Umeandika utumbo tu hakuna cha maana hapo ni umalaya tu ulionao ndo ulikufikisha huko
  6. yellow eyes

    Usitumie nguvu nyingi kumuaminisha mtu kuwa unampenda

    Siku yakikukuta utamwelewa tu
  7. yellow eyes

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Bado kikao na mama mkwe naona kinaendelea, basi sisi tupo huku nje tunasubiri merejesho
  8. yellow eyes

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mbinu tu hizo za kijasusi alitumia ili usimle na ulifeli sana mwamba
  9. yellow eyes

    Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

    Hawa wanawake wapumbavu kiasi hicho huwa mnawaokotea wapi, kweli mwanamke anakutishia ataenda kwao na wewe unamwangalia tu. Kuna namna amekupanda kichwani. Pole yake sana huyo mtoto,
  10. yellow eyes

    Ni halali kutuma pesa za matumizi kwa mama wakati mke wangu yupo kwake?

    Kuna namna mke wako anasauti kwako means ni kama amekupanda kichwani hivi.
Back
Top Bottom