Recent content by Yegoo

  1. Yegoo

    GE2025 Urais wa Tanzania ni mpango wa Mungu, kubalini tu Samia amepewa tiki

    Gata jambazi humeomba MUNGU WAKE KABLA ya kufanya uharifu, Akifanikiwa anashukuru na pia
  2. Yegoo

    Kwa kukamilisha yale ya mtangulizi wake, kisha kujumlisha na ya kwake anayotenda, kutomshukuru ni kujichumia tu dhambi za bure!

    Mzee unatafuta teuzi, ila ni muda sasa mfumo ukuone aisee Kinondoni huu ni mwezi wa tatu hakuna maji, na hii haijawai kutokea kwa miaka hii karibuni
  3. Yegoo

    Leo mjanja nimekamatika, naona kama nimetapeliwa Tsh. Milioni 1

    Rudi kwa wakala pesa yako haipotei wewe utakomaa na CRDB, ndio waliompa dhamana ya kutoa huo huduma, Pesa Yako Iko salama kabisa hata kama atakua kapiga huyo dogo aliyeajirwa bado mwenye hyo Atawajibika
  4. Yegoo

    Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

    Huyu Kabendera na kitabu chake ataaminiwa na wale ambao hawajawai, kumuelewa HAYATI MAGUFURI, Kifupi Kaandika Uharo mtupu!! habari zote ni Hearsays, Kuna sehemu kaongelea mtoto Waagufuri, Sasa unajiuliza yule mtoto kafariki Magufuri kaandikaa pumbs tupu humo, Hiki ni kitabu Cha wakuja Ngumi😂😂😂
  5. Yegoo

    Siku niliyomwamini mke wangu

    Siku atakapopata mjanja WA kumuzibua sikio linguine Hilo la chini, kisasi Cha mwanamke kibaya sana ndg usijione mjanja
  6. Yegoo

    Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na LHRC, nyote mnatumikia tu maadui wa Makonda

    Ulitaka aseme ana mke mbaya kama yeye, kwanini hawajajitokeza Kwa raisi alivyovuliwa utu wake tena kwenye social media RAISI WA INCHI anasagana 😭 hili hamukuliona wewe na dada zako hao WA UWT
  7. Yegoo

    Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?

    Mkuu #pasco mayalla nakuelewa sana, hizo Article ulizoandika Toka huyu kijana akiwa DC KINONDONI, Hili ni Jiwe walilolikataa waashi, twendeni tu muda utaongea Na article za pasco NDO ZITATUMIKA KAMA USHUHUDA
  8. Yegoo

    Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za Hayati analiwa kichwa kwa alichokifanya Longido

    Yeye mwenyewe ALISEMA, wavivu na Wala Rushwa Wana UMOJA sana😂😂😂😂 Kila nikiangalia Uzi zinazomuhusu jamaa na comment zake,zinaniriudisha kwenye hii kauli
  9. Yegoo

    Nchimbi anaibua Mazuri ya Serikali dhidi ya Mabaya Machache, Makonda anaibua Mabaya Mengi dhidi ya Mazuri machache kati yao nani Bingwa wa Siasa?

    Ngoja waendelee kujitekenya na kucheka wenyewe, Nauona Upinzanzi ukiwa na hoja nyingi sana kwenye majukwaa kwenye uchaguzi WA SERIKALI za mitaa, upinzani wapate vijana AMBAO SI machawa 😂😂😂 Wala BANGI MAJI, MAKONDA alibua Mabaya kwenye Mazuri machache, juu ya wananchi na SI juu serikali Unaenda...
  10. Yegoo

    Tetesi: Lissu kuhama CHADEMA muda wowote kuanzia sasa

    Hadithi tamu sana ila mdomo maneno yanaumba, Kwa hyo utakua umecheza na saikoloji tu kuwa Ipo siku lazima LISU AONDOKE CHADEMA
  11. Yegoo

    Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu

    Na vipi Hela wanazojikopesha, na hazirudi kukopi mambo ya Korea kusini TAIFA ambalo liko mile 1000000000 zaidi yetu Kwa Kila kitu ni uzwazwa Umeme tu shida hyo mifumo SI ndo itadukuliwa umeme ukiwa umezima na kuchota Hela zote, naona kama Mzee wa SKAFU SHINGONI ANATIKISA KALAMU NJISI SHA-BABY...
  12. Yegoo

    Je, wajua kuwa Rais wa JMT ndie Serikali, Bunge na Mahakama? Yuko juu ya Mihimili yote 3. Je, kuna uwezekano Rais wa JMT pia yuko juu Katiba?

    Umenikumbusha swali ulilowahi kumuuliza Hatati MAGHUFURI Kwenye kikao Cha wahariri WA vyombo vya habari kama sikosei, Kuna swali uliuliza lenye mrengo huu Alikutania Kwa Jina lako Kisha Akakuuliza Nani anatafuta Hela kati ya SERIKALI ,mahakama na BUNGE😂😂😂
Back
Top Bottom