Rudi kwa wakala pesa yako haipotei wewe utakomaa na CRDB, ndio waliompa dhamana ya kutoa huo huduma,
Pesa Yako Iko salama kabisa hata kama atakua kapiga huyo dogo aliyeajirwa bado mwenye hyo Atawajibika
Huyu Kabendera na kitabu chake ataaminiwa na wale ambao hawajawai, kumuelewa HAYATI MAGUFURI,
Kifupi Kaandika Uharo mtupu!! habari zote ni Hearsays,
Kuna sehemu kaongelea mtoto Waagufuri, Sasa unajiuliza yule mtoto kafariki Magufuri kaandikaa pumbs tupu humo,
Hiki ni kitabu Cha wakuja Ngumi😂😂😂
Ulitaka aseme ana mke mbaya kama yeye, kwanini hawajajitokeza Kwa raisi alivyovuliwa utu wake tena kwenye social media RAISI WA INCHI anasagana 😭 hili hamukuliona wewe na dada zako hao WA UWT
Mkuu #pasco mayalla nakuelewa sana, hizo Article ulizoandika Toka huyu kijana akiwa DC KINONDONI,
Hili ni Jiwe walilolikataa waashi, twendeni tu muda utaongea
Na article za pasco NDO ZITATUMIKA KAMA USHUHUDA
Yeye mwenyewe ALISEMA, wavivu na Wala Rushwa Wana UMOJA sana😂😂😂😂 Kila nikiangalia Uzi zinazomuhusu jamaa na comment zake,zinaniriudisha kwenye hii kauli
Ngoja waendelee kujitekenya na kucheka wenyewe, Nauona Upinzanzi ukiwa na hoja nyingi sana kwenye majukwaa kwenye uchaguzi WA SERIKALI za mitaa, upinzani wapate vijana AMBAO SI machawa 😂😂😂 Wala BANGI MAJI,
MAKONDA alibua Mabaya kwenye Mazuri machache, juu ya wananchi na SI juu serikali
Unaenda...
Na vipi Hela wanazojikopesha, na hazirudi kukopi mambo ya Korea kusini TAIFA ambalo liko mile 1000000000 zaidi yetu Kwa Kila kitu ni uzwazwa
Umeme tu shida hyo mifumo SI ndo itadukuliwa umeme ukiwa umezima na kuchota Hela zote, naona kama Mzee wa SKAFU SHINGONI ANATIKISA KALAMU NJISI SHA-BABY...
Umenikumbusha swali ulilowahi kumuuliza Hatati MAGHUFURI Kwenye kikao Cha wahariri WA vyombo vya habari kama sikosei, Kuna swali uliuliza lenye mrengo huu
Alikutania Kwa Jina lako Kisha Akakuuliza
Nani anatafuta Hela kati ya SERIKALI ,mahakama na BUNGE😂😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.