Recent content by YEGOANKO

  1. Y

    Kujitangaza kugombea urais kwa baadhi ya viongozi je kuna maslahi ya nchi au maslahi binafsi.

    katika chaguzi zilizopita za viongozi mbali mbali ukiwezi wa rais karibu wagombea wengi kama siyo wote wamekuwa wakiombwa eidha na chama au watu mbali mbali kugombea urais. nitatoa mifano. Mwalimu na baba wa taifa letu J.K NYERERE ,aliombwa na chama chake TANU wakati ule kugombea Urals pamoja...
  2. Y

    Kigwangalla: Nitakuwa wa kwanza kumuunga mkono Membe urais 2015

    inawezekana anatumika mkuu.
  3. Y

    Kuchelewa kwa maridhiano bunge la katiba

    Tunawapongeza TCD na mheshimiwa rais kwa kufikia muafaka kuhusu bunge la katiba. Cha kujiuliza, je ilikuwa ni busara kusubiri mpaka mvutano uwe mkubwa ndo tutafute muafaka? Watu mbali mbali wamekuwa wakishauri kuhusu kusitisha bunge la katiba ili kupata maridhiano kwanza ndo liendelee lakini...
  4. Y

    Kikwete na TCD wakubaliana kurekebisha Katiba iliyopo! Katiba Mpya hadi baada ya 2015

    kama bado kuna watu wana mawazo ya ukawa kwenda IKULU ni kutafuta chai na vitumbua. huu ni utumwa wa kifikra.
  5. Y

    Mbowe awekewa pingamizi CHADEMA

    KWA NINI CHADEMA TU? kwa mfano baba wa taifa alikuwa mwekiti awamu ngapi ? mbona sisi tunaoshabikia hatukuhoji ? pro. Lipumba ana awamu ngapi .mbona hatuhoji? cheo, mrema? why CDM ,why mbowe? Ninachokiona baadhi yetu tunaona cdm inapaa. hivyo tunaomba siku moja kiharibikiwe. lakini tukumbuke...
  6. Y

    Mbunge wa Musoma mjini Mh. Vincent Nyerere azidi kuiteketeza CCM na kuipa nguvu UKAWA

    ukweli utabaki kuwa ukweli na hauwezi kupingwa mpaka kwa nguvu ya mungu tu.P. POWER.
  7. Y

    Polisi wamshughulikie Mchange katika mambo haya 10...

    Matukio haya ya siku nyingi mbona uchaguzi umekaribia ndo yanaibuka? mchange leo ni polisi jamii? Mbona polisi mpaka leo hawajatoa hoja yoyote kuhusu hili huu mwaka wa tatu?
Back
Top Bottom