Asante sana.... Na tatizo kubwa ni kwenye masuala ya kuomba mkopo kina sehemu inahitajika hiyo award verification number... Hivyo kama chuo kimechelewesha m
Asante sana ndugu yangu... Kwa kunipa matumaini
Asante sana.... Na tatizo kubwa ni kwenye masuala ya kuomba mkopo kina sehemu inahitajika hiyo award verification number... Hivyo kama chuo kimechelewesha taarifa nactN inamaana suala la mkopo unakosa
Habari ya mihangaiko wanajamii,
Nina kitu naomba niulize, kwa mwenye kufahamu, hasa wale ambao tunaoomba mkopo wa elimu kutoka HESLB, na tumepitia DIPLOMA...
Hii AWARD VERIFICATION NUMBER, inayotolewa na NACTE ni tofauti na namba ya usajili wa mwanafunzi pale unapoanza chuo, ambayo ndio...
Huyo mke wa kwanza, alileta ujinga mwenyewe wa hovyo, na alikuja kudai talaka mwenyewe kwa mumewe, na familia haikuingilia ilikuwa ni yeye na mumewe, na ilifika wakati mwanaume akaona apeleke kwa wazazi na kutoa talaka hiyo ambayo mwanamke aliitaka,
Sawa sisi ni wanafiki na tumemshikia akili bwana Ally, nikushauri tu usiwe Unaamini jambo kwa asilimia zote, uwe unafikiri pia,
MUNGU PEKEE NDIYE MWENYE KUUJUA UKWELI
Bwana Ally yupo nyumbani, na juzi tu katoka hospitali muhimbili, awezi tupwa na ndugu zake, tumepambana sana hadi anafikia hali ya kuwa na ufahamu, ajali aliyoipata ilimsababishia matatizo makubwa sana,
Tatizo ni huyo mwandishi wa habari kamuamini sana mwanamke, na bila kuuliza ama kufuatilia kwa mwanaume,
Na hili halijaanza hapa lilishaenda hadi radio planet ya hapa Morogoro kabla ya siku hiyo, na lilijibiwa vizuri tu,
Tatizo la baadhi ya waandishi wetu wa habari hawafanyii uchunguzi...
Ni kweli kabisa ulisemalo,, lakini si kwa huyu mwanamke, alipelekea hadi bwana Ally kukosana na Mama zake kwa sababu zisizoeleweka, hebu imagine mwanamke anamleta mtu nyumbani kwa wazazi wa Ally akidai kuwa ni Mdogo wake, kumbe ni mtoto wake wa kumzaa mwenyewe (na hili alikuja kuropoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.