Special Thread: Kwa waombaji wote wa mikopo kupitia HESLB 2018/2019

Naomba msaada kuhusu jinsi ya kucrop passport size iwe na ukubwa wa 150x160 ili niweze kui apload bodi ya mikopo.
Tafadhali naomba nisaidiwe kwa hilo kwa yeyote mwenye uwelewa kuhusu hilo.
Fungua picha na MS Paint, Untick "maintain aspect Ratio' then chagua "Pixel' tthen weka hizo pixel dimensions unazozitaka!
 
wakuu naombeni kusaidiwa, najaza zile forms zao online ila nimekwama hatua ya 9 yaan hainipi option ya "next step" ili niende ile ya 10 na zinazoendelea emb nisaidieni nakosea wap, Jumla ziko hatua 13! kwa aliyefanya huu mchakato anajua ninachozungumzia.
 
oya wakuu nimetuma maombi ya kuhakiki cheti cha kuzaliwa ila majibu yanachelewa naomba kuuliza naweza nikatuma hizi nyaraka zingine kwa njia ya EMS posta hata kabla ya kutumiw ujumbe wa kucertify cheti cha kuzaliwa
 
oya wakuu nimetuma maombi ya kuhakiki cheti cha kuzaliwa ila majibu yanachelewa naomba kuuliza naweza nikatuma hizi nyaraka zingine kwa njia ya EMS posta hata kabla ya kutumiw ujumbe wa kucertify cheti cha kuzaliwa
Habari kaka hivi kumbe zile nyaraka zinabidi zitumwe kwa njia ya EMS posta mi nlijua nimeshamaliza kila kitu mtandaoni duuuh
 
Habari kaka hivi kumbe zile nyaraka zinabidi zitumwe kwa njia ya EMS posta mi nlijua nimeshamaliza kila kitu mtandaoni duuuh
Hivi hii inamaana gani kila documents ninayoiweka naambiwa plug in not supported
 

Attachments

  • Screenshot_2018-07-03-14-59-58.png
    Screenshot_2018-07-03-14-59-58.png
    15.3 KB · Views: 108
Habari kaka hivi kumbe zile nyaraka zinabidi zitumwe kwa njia ya EMS posta mi nlijua nimeshamaliza kila kitu mtandaoni duuuh
ukimaliza kuapload ukurasa wa 2 na 5 inabidi hizo nyaraka pamoja na copy ya cheti cha form 4(kiwe kimethibitishwa in true copy from original) vitumwe kwa njia ya posta
 
ukimaliza kuapload ukurasa wa 2 na 5 inabidi hizo nyaraka pamoja na copy ya cheti cha form 4(kiwe kimethibitishwa in true copy from original) vitumwe kwa njia ya posta
mkuu hivyo vyeti vinazibitishwa baada ya kuprint au naweza kwenda thibitisha vyeti tu pekee?
 
naomba kujua kwenye kuupload vyeti na risiti ya benki katika website ya rita kuna sehemu naambiwa niingize namba ya risiti .je hyo namba ni ipi?
 
Mkuu umejaza Kila kitu kwa kutumia simu Na ukafanikiwa?
Kama Unatumia smartphone yenye ubora wa picha unafanya vyote na kufanikiwa. Kuweka Picha vizuri tumia Photo&Pictures Resizer ipo Play store, kuscan tumia Cam Scanner, pia simu iwe na PDF reader(Adobe Acrobatics) vyote vipo Google Play Store. Kama ngumu nenda Cafe na uwe makini nao kwani wengine hawana uzoefu.
 
Hiyo namba kwenye alama nyekunduView attachment 802975

Hapana namba siyo hiyo namba unaletewa kwa njia ya Ujumbe mfupi kwenye simu yako kwani wakati unalipa hela unatakiwa utoe control number na namba yako ya simu baada muamala kukamilika Ujumbe utaingia kwenye simu yako(hiyo namba uliyotoa kwa teller au wakala) wenye namba ya risiti ya malipo ambayo ndiyo unajaza hapo kwenye website ya uhakiki portal.
Screenshot_20180704-232718.jpg
 
Kama Unatumia smartphone yenye ubora wa picha unafanya vyote na kufanikiwa. Kuweka Picha vizuri tumia Photo&Pictures Resizer ipo Play store, kuscan tumia Cam Scanner, pia simu iwe na PDF reader(Adobe Acrobatics) vyote vipo Google Play Store. Kama ngumu nenda Cafe na uwe makini nao kwani wengine hawana uzoefu.
mkuu udhibitisho wa vyeti kwa wakili ni baada ya kuprint form ndo napeleka kwa wakili?
 
Back
Top Bottom