Nina wasiwasi na aliyesema mkutano utarushwa live inawezekana amefanya hivyo wakati akijua live coverage hitakuwepo ili kuwafanya UKAWA waonekane waongo na kuwagadhabisha wapiga kura wao.Tusilaumu sana UKAWA maana ITV sijaona wanarusha tangazo kuhusu mkutano wa UKAWA kwa leo,siasa inaambatana na...
Binafsi kauli ya Bulembo inabidi ilaniwe na watu wote wanaopenda amani ya nchi hii wakiongozwa na idara nyeti ya NEC na vyombo vya usalama,namnukuu Bulembo huko kigoma"mnajua kuna kitu ambacho CCM hatujawahi kufanya na hatutakuja kufanya mnajua ni nini?niwambie hatuwezi kuwaruhusu kuingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.