Recent content by YASINI MRUTU

  1. YASINI MRUTU

    GE2020 CCM Vijijini Tundu Lissu ametikisa ngome ni muda wa CCM kubadili itikadi na mikakati

    Kwa ubabe 90% tumezibwa midomo..Lissu pekee ndie anaweza kuongea ukweli nchi hii..Na walidhani kwa kukandamiza Wangeshinda 100% ..Kumbe nchi c ya mmoja..28-10 nnajambo langu privatini
  2. YASINI MRUTU

    GE2020 Hili la Sheikh Ponda liacheni. Hatua ya Ponda ni kwa maslahi ya Waislam na Watanzania

    BORA LISSU IKIWA UTAMUONA KAFIRI KULIKO MUISILAMU MNAFIKI IKIWA UTAMUONA NA JEI KEI.. BORA KAFIRI KULIKO MUISLAM MNAFIKI
  3. YASINI MRUTU

    GE2020 Hili la Sheikh Ponda liacheni. Hatua ya Ponda ni kwa maslahi ya Waislam na Watanzania

    Walevi kama ww waliomba kwa Jpimu amuachie Baraba mlevi mwenzao kisha Yesu akafungwe..HUIJUI DUNIA MDOGO WANGU..BILA SHAKA BADO UNANYONYA VIDOLE UKIKUMBUKIA MAZIWA..Inatosha HUJIELEWI
  4. YASINI MRUTU

    GE2020 Hili la Sheikh Ponda liacheni. Hatua ya Ponda ni kwa maslahi ya Waislam na Watanzania

    Shehe Ponda ndie muislam anae umizwa Zaidi na suala la mashehe kuwekwa magerezani kuliko shehe wowote nchi..Yaani Ponda wale mashehe ni kama wadogo zake au kaka zake wa tumbo moja..Kwa Misimamo ya shehe Ponda isinge wezekana yeye kujishusha na kujidhalilisha chini ya Lissu..Ila Shehe ni kama...
  5. YASINI MRUTU

    TUJADILI: Hukumu kwa waliochoma Kituo cha Polisi Bunju A

    MM BADO NALISOMA GAME LA KIKI...HUENDA MWAKANI MFALME AKATOA MSAMAHA.. Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
  6. YASINI MRUTU

    Ben Kinyaiya afunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi

    Itoshe tu..Tumepata shemeji na Dada zetu Wifi yenu ndio huyo..Tuweke akiba ya maneno Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
  7. YASINI MRUTU

    Ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani wamuwakia Lissu, kwenda DW kutoa ufafanuzi wao

    MM NAWASHAURI WATU WASIOJULIKANA WAJIFANYIE TU YASIYO JULIKANA..Maana 2020 imefika..Tunalundo la matukio yao hatuwezi kubali tuvuke nayo 2021 Sent using Jamii Forums mobile app
  8. YASINI MRUTU

    Ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani wamuwakia Lissu, kwenda DW kutoa ufafanuzi wao

    Hawamuwezi Lissu..Hao alio kutana nao tu wanapepesa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. YASINI MRUTU

    Ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani wamuwakia Lissu, kwenda DW kutoa ufafanuzi wao

    Unaonaje tukupe Ubunge hata wa humu JF..Maana hii point inainua uchumi kwa sekunde 5 na inamaliza ufisadi kwa kufumba na kufumbua Sent using Jamii Forums mobile app
  10. YASINI MRUTU

    CHADEMA matatani kwa ufisadi Tarime; Waziri Mkuu aunda Tume ya Uchunguzi

    MKUKI KWA NGURUWE Sent using Jamii Forums mobile app
  11. YASINI MRUTU

    Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

    Wakati wa kurudi kwa wananchi umefika..Jiwe linahitaji rangi za kisasa zenye kumelemeta Linavumbi sana.. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. YASINI MRUTU

    Tundu Lissu kutangazwa Mtu Mwenye roho wa Mungu/Mahatma ifikapo February 28, 2019

    Konki Lissu star tv mda huu (VOA) Sent using Jamii Forums mobile app
  13. YASINI MRUTU

    Tundu Lissu kutangazwa Mtu Mwenye roho wa Mungu/Mahatma ifikapo February 28, 2019

    Kwa macho yangu Mawili mda huu namuona KONKI Lissu VOA (Star TV) Sent using Jamii Forums mobile app
  14. YASINI MRUTU

    Mkuu wa Mkoa Pwani Evarist Ndikilo ndie Mkuu wa Mkoa Bora kiutendaji

    Unajua kinacho en Unajua kinacho endelea huko sasa..Nijuavyo hakuna uwanja huru na salama..Ngoja povu nifulie..Maana kinga ni bora kuliko tiba Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom